Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
kwa kwa kwaaaa we jamaa una dhambi saana wallah!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa kwa kwaaaa we jamaa una dhambi saana wallah!!!!
Umejaribu kumuelezea lakin kuna sifa moja umeacha,Huyu Ni Mtemi Wa Watemi
Mwalimu Deo Kisandu the greatest Mwalimu of all time
Ticha hauna hata ka picha hivi ukiwa stejini siku hiyo tukuone?View attachment 652459
SEVEN na SALAMA JABIR WALINIBANIA USHINDI WANGU WA COCA COLA POP STAR MWAKA 2004 NA KUWAPA SHAA,LANGA na WITNESS LAKINI DUDUBAYA ALINIACHA HOI.
Mashindano ya East Africa Coca Cola Pop Star yaliyofanyika Dar es Salaam mwaka 2004 Mwenge, Mimi Deogratius Kisandu kwa jina la kisanii "Masqo" nilikuwa mshiriki wa mashindano hayo na wakati huo tayari nilikuwa na Tract yangu "Nimepata demu" ikiendelea kupata promo.
Majaji walikuwa ni watangazaji wa East Africa Radio Madam SEVEN na SALAMA JABIR. Washiriki tulikuwa wengi sana wakiwemo wale Soul 'N' Faith, mimi ilipofika zamu yangu niliwahi ukumbini na kundi langu nikaimba wimbo wangu nilioandaa, kama kawaida ya Salama akacheka tu kwa chini SEVEN akamwambia huyu si ndo Masqo mwenye wimbo Nimepata Demu? wakanong'onezana kisha wakanambia unaweza kwenda ila kafanye mazoezi tena.
Ilikuwa ukisha maliza kuimba hurudii tena, mimi nikajifikira yaani nimeimba vizuri halafu nikafanye mazoezi tena,
nikaona hapana nikaenda kuchukua Coupon upya nikapanga foleni tena. Nikasikia wambeya wanamwambia Salama na Seven kuwa Deo Kisandu anarudia tena lakini hakujali, basi ikafika zamu yangu tena, waliponiona walicheka halafu Seven akamwambia salama huyu si amejirudia tena, Salama akasema hebu tumuache ajaribu tena ila hatumuchukui maana tayari ana wimbo una unapigwa radioni. Basi nikaimba tena wakanambia umeimba vizuri kasubiri majibu.
Baada ya Usahili wa wote tulikaa nje huku tunapata Burudani ya Mziki kutoka kwa Bwana Misosi na baada ya kutangaziwa sikusikia jina langu kabisa tukasikia tu Sarah (kwasasa Shaa), Langa na Witness na wengine nimewasahau ambao walienda Top 5 kama sijakosea.
Mziki ni uvumilivu na subira na kujipanga upya mara kwa mara lakini tamasha hili nilitakiwa kushinda kabisa maana niliimba Vizuri mno, lakini Seven na salama walibana.
DUDUBAYA.
Siku hiyo hiyo tullitoka na mshikaji wangu mmoja tukaenda Bongo Record kwa PFunk ili tukapate Lebel lakini tulipofika kwa PFunk ofisini hatukupata nafasi ya kumuona PFunk, tuliondoka zetu mpaka kwa Dudubaya tukamkuta kwake (Sinza) akatukaribisha tukakaa na kupiga stori na kumweleza adhima yetu, lakini hata yeye alikuwa juu ya mawe tu kama sisi hivyo hakuonesha hata nia ya kutusaidia kimtindo mpaka tunaondoka.
DEOGRATIUS NALIMI KISANDU.
16 Desemba 2017.
HAHAHA KUNA SIKU NILIMGOOGLE MCHIZI NIKIWA NATIZAMA PICHA NDIYO NIKAKUTANA NA HIZO SCREENSHOT TOKA FB JAMAA ANASEMA NI HAKI YAKE.Umejaribu kumuelezea lakin kuna sifa moja umeacha,
Huyu ndio yule ambae akimiss kugegeda (hapa nimetumia tagsida, ila ye hatumiagi) basi hutangaza hadharani na kudai kua ni haki yake
Yupo KahamaHuyu jamaa kapotelea wapi?
#MaendeleoHayanaChama
Hatumuoni jukwaani..ama yupo studio.Yupo Kahama
Ameshapanda pipa kitambo kwenda Marekani kwa baba yake Nalimi Curtis, ambaye ni Mmarekani Mweusi.Huyu jamaa kapotelea wapi?
#MaendeleoHayanaChama