Shaa, Langa na Witness walipendelewa Coca Cola Pop Star ila mimi Masqo(Deo Kisandu) nikaachwa

Mwezi unaandamwa tena leo. Atakayekuwa karibu yake aje na mrejesho kesho kwa yatakayomsibu.
 
Wabongo bhana,mwenzenu anashusha facts zinazomuhusu alafu mnamtupia madongo
 
Huyu Ni Mtemi Wa Watemi
Mwalimu Deo Kisandu the greatest Mwalimu of all time
Umejaribu kumuelezea lakin kuna sifa moja umeacha,
Huyu ndio yule ambae akimiss kugegeda (hapa nimetumia tafsida, ila ye hatumiagi) basi hutangaza hadharani na kudai kua ni haki yake
 
Ticha hauna hata ka picha hivi ukiwa stejini siku hiyo tukuone?
By the way tuwekee basi huo wimbo wa Nimepata Demu tuupakue, inaweza kukutangaza zaid
 
Umejaribu kumuelezea lakin kuna sifa moja umeacha,
Huyu ndio yule ambae akimiss kugegeda (hapa nimetumia tagsida, ila ye hatumiagi) basi hutangaza hadharani na kudai kua ni haki yake
HAHAHA KUNA SIKU NILIMGOOGLE MCHIZI NIKIWA NATIZAMA PICHA NDIYO NIKAKUTANA NA HIZO SCREENSHOT TOKA FB JAMAA ANASEMA NI HAKI YAKE.
DAH NILICHEKA KINOMA
 
mbona deo kisandu anasakamwa sana humu? Kama kuna mtu ana ugomvi nae si aseme? Utafikiri kawachukulia madem zenu duh. Kwa kweli sijui chanzo cha huyu deo kusutwa namna hii tatizo lake nini tuelewesheni tujue
 
Huyu jamaa kapotelea wapi?

#MaendeleoHayanaChama
Ameshapanda pipa kitambo kwenda Marekani kwa baba yake Nalimi Curtis, ambaye ni Mmarekani Mweusi.

Sema kwa sasa hana nafasi ya kuingia humu jukwaani kutokana na kutumia muda wake mwingi kumfukuzia Malia Obama, ambaye ni mtoto wa Rais Mstaafu wa nchi hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…