- Thread starter
- #21
Hasira ni kitu kibaya sana, yatupasa tujifunze kuvumiliana hata kama maisha magumu na yanatupa stressš„² bora angesubiri tu jmn ona sasa amekosa yote pesa na uhuru.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasira ni kitu kibaya sana, yatupasa tujifunze kuvumiliana hata kama maisha magumu na yanatupa stressš„² bora angesubiri tu jmn ona sasa amekosa yote pesa na uhuru.
Ngoja tusubiri kama yupo online au kama hayupo online tokea tukio litokee tuanze kuwa na mashaka.Mmh... hata humu jukwaani tuna matola.. sasa sijui ndo yeye..
Yule anaependa kupambana na popoma. Nahs wote sasa hv wako kifungoni.
KabisaNikweli alizingua, ni kosa kumfungia au mzuia mtu yayote nda ya uzio yaani unamfanya mfungwa, watu wa tort law
Hawa watu wenye vihelahela wandharau ssna jasho au hela za wengine. Just imagine unamdai na yeye anakudai ila deni lako ww analiona shitLabda alitukanwa sana na kuzalilishwa na mwenye nyumba na akashindwa kuvumilia, na inaonekana mgogoro haukuanza siku hiyo huwenda ni wa muda mrefu sana
Ni uvivu wetu wa kutopenda kuongeza maarifa nje ya fani tulizofundiswa darasani na vyuoni, ila ningepanda kila mtanzania walau ajue basic law kwenye tort na contract laws yaani sheria za mkataba. Huyu mwenye nyumba angejua hivi vitu viwili wala asingefanya alivyo fanya kumletea usumbufu mpangaji angetumia njia za kisheria kwanzaMuhimu kujifunza sheria.Wengi huwa hawajui,kama kumfanyia fujo mpangaji,kumfungia nk.,nikosa.