Juzi alikuwa mafinga, nazani anatembea usiku na mchana huyuhesabu zinagoma kutembea kwa miguu mbeya to dar (813km) kwa muda uliopo, hata kama alianza safari siku ile ya draw
thanks to god the almighty
Hivi wazungu wanaweza kufanya huu ujinga wa kutembea mbeya Hadi dar??Angekuwa mzungu mngeona kawaida kwakuwa n mbongo mna hate.... sio poa watanzania.... tumsupport mwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo njia ya dom Ina bonge moja la mlima(msitu) Kona zaidi ya 200...anapitaje???Sio lazima apite MIKUMI, anaweza akaingia Iringa to Dodoma,,kisha Dodoma to Moro kisha moro to Mzizima
Sent using Jamii Forums mobile app
Nami naona hivyo pia.
Huu pia Ni utahira..anatudhalilisha tu watu wa mbeya
Sifa nyngne za kijinga Sana hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wengine akili zao wanazijua wenyewe.
Na mie nashangaa wanavyosema angekuwa mzungu lingekuwa jambo la kawaida wanasahau kwamba wale wanafanya kwa faida.Hivi wazungu wanaweza kufanya huu ujinga wa kutembea mbeya Hadi dar??
Hawawez unless Kuna sababu za muhimu nyuma ya pazia
Huyo alikua na sababu gani ya kutembea???
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wanaomtetea ukiwaambia wafanye wao hawaezi fanya.Hiyo njia ya dom Ina bonge moja la mlima(msitu) Kona zaidi ya 200...anapitaje???
Yaani aende Dom ,atoke Dom aende Moro?!!!!huu Tena Ni uchizi
Acheni kumtetea bure...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaa. Anajua hiyo njia ya kuomba haiwi rahisi kusaidiwa sababu wanaoomba ni wengi hivyo katafuta njia ya peke yake 😀😀😀ambayo ukiiangalia kwa asilimia fulani ina athari kwake.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nmecheka kwa sauti... yawezekana kabisa anafikiri MO atampa chochote.,Sasa si bora aombe tu kuliko huu upuuzi
Cha ajabu Kuna watu hapa wanamtetea
Sent using Jamii Forums mobile app
Angekuwa Ni Mzungu Mngemsifu ila kwa kuwa ni mswahili mna mzarauAiseeee. Watu wengine akili zao wanazijua wenyewe.
Mmmh. Nauliza tu Mtani kwa nini hujawa wewe?
Tangia mnakua hadi leo mnafanya kaz Na bado haziish acheni majunguNami naona hivyo pia.
Kila mtu anafanya anachokipenda ili mradi asibughuz wengnMmmh. Nauliza tu Mtani kwa nini hujawa wewe?
Naona hii mmeiona ndio sababu eti. Wacheni kuwaingiza wazungu hapa leo tunamsemea huyu shabiki wa Mikia asiyeihurumia nafsi yake pamoja na afya