Atapita bila shida. Kuna chizi alikuwa anapita hata usiku.Atapitaje mikumi
Hahaaa. We Mtetee tu.
Hapo ndio utaona unafiki wa watuHahaaaa. Anajua hiyo njia ya kuomba haiwi rahisi kusaidiwa sababu wanaoomba ni wengi hivyo anatafuta njia ya peke yake [emoji3][emoji3][emoji3]ambayo ukiiangalia kwa asilimia fulani ina athari kwake.
Akifika salama watamuona shujaa ila hao hao asipofika salama watamuona bonge la mjinga.
Ujue unanichekesha Mtani. Hivyo huyu kaamua kuziwacha kazi kwanza ili atembeee. lol.Tangia mnakua hadi leo mnafanya kaz Na bado haziish acheni majungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbeya washamba wa nn labda?Mtu wa mbeya=washamba
Simba=mbumbumbu
Huyu anaitwa shabiki mbumbumbu mshamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja tumwite mleta uzi atupe khabar.Amefika wapi wakuu
Kuna sehem akifika lazm achukue usafrNaona hii mmeiona ndio sababu eti. Wacheni kuwaingiza wazungu hapa leo tunamsemea huyu shabiki wa Mikia asiyeihurumia nafsi yake.
Nawaza tu hivyo akifika karibia na mikumi anapanda basi then anashuka baada ya au ndio atatembea kote huko?
Me siwezUjue unanichekesha Mtani. Hivyo huyu kaamua kuziwacha kazi kwanza ili atembeee. lol.
Mbona huwachi wewe?
Hapo ndio utaona unafiki wa watu
Akiliwa mikumi hakuna atakaye mtetea hapa.
Ukiwaambia wakatembee wao hawatakubali huo upuuzi
Sababu ya kutembea ushujaa wa kijinga aisee[emoji23][emoji23]
Hapo chini nmecheka ety anatafuta njia ya pekeyake [emoji23][emoji23]
Tunasubiri pia wakati wa kurudi atembee tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameshindwa kuendelea baada ya kuchoka miguu,ameomba asaidiwe nauli ya kufila morogoro kuungana na lialia wenzie. Ushabiki wa mpira raha sana
Kwa nini umwite mbwa?wewe ni mbwa pia mpaka ukajua kila mtu mbwa?
Umeona sasa. Ngumu hii kitu kuifanya hasa ukiwa na akili zilizo timilifu.
Huyu anaiga kaona deal mwenzie kapewa 1M na Makonda na zawadi zingine toka TFF.Ha ha ha washagundua kumbe kutembea dili kuna yule mmoja alikula 1m ya konda boy juz mech ya stars
Endeleeni kumjaza upepo...mwishowe atajaa atapasukaYaani koment nyingi za wavulana wa dar eti ni jinsi gani atavuka mbuga ya mikumi kwakuwa kuna wanyama wakali kama simba, kidume kimeshayajua hayo kabla hamjafikiria hayo huku mikoani simba sio issue kivile kwakuwa tumeshawazoea tunapishana nao porini daily,
Ila sishangai kwakuwa nyie huko panya tu akiingia ndani hamulali, subiri mumpokee then mumuulize huyo mwanaume amevukaje mikumi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada Wa mie huyu jamaa ataibukia Dar ghafla kufotoa picha nyingine
Kumbe Kuna sehemu anachukua usafiri,Kwa hiyo hapo kulikua na haja gani ya kutembea???
Ameshindwa kuendelea baada ya kuchoka miguu, ameomba asaidiwe nauli ya kufila morogoro kuungana na lialia wenzie. Ushabiki wa mpira raha sana