Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
Atakuwa anabambia malori huyo si bure asingetoboa IRINGA na mapori yote hayoHuko mbali sana mkuu Ruaha tu anaweza akaliwa Kuna fisi pale si mchezo
Ndio.shida watu hawana ubunifu tofauti kazi ni kuiga tuHa ha ha washagundua kumbe kutembea dili kuna yule mmoja alikula 1m ya konda boy juz mech ya stars
Sema mumuambie Mo amlipie kiingilio, mchangie kama wakina naniKiingilio anacho lakini huyu Mwanasimba mwenzetu au tumchangie na hela ya kula akiwa anasherekea ushindi mjini hapa vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanga watu wote wana pesa. Inaweza kuwa kidogo. Simba, ni Mo pekee ana pesa. Akiugua ghafla....Angesema achangiwe nauli.. hii kazi Yanga tu wangefanikisha.
Kweli mkuu Huwezi kua Iringa unaenda dsm halafu uongeze Km tena za dom hapo ni kuitafuta moro tu then dsmHiyo njia ya dom Ina bonge moja la mlima(msitu) Kona zaidi ya 200...anapitaje???
Yaani aende Dom ,atoke Dom aende Moro?!!!!huu Tena Ni uchizi
Acheni kumtetea bure...
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeonae? Mimi niko hapa tangu jana ila leo saa 11 jioni nimeondoka.Nilipigwa na baridi pale makambako acha kabisa Mkuu. Kuna upepo mkali na ile baridi duh! Baridi ya njombe niliipenda.
Hili kosa naona mkuu wa kaya amewafanya watu wengi walifanye.... Siyo Taifa Star... Ni Taifa Stars. Nimemsikiliza mara nyingi mkuu wa kaya anatamka hivyo kimakosa, hivyo wengi wanakwenda naye. Taifa Stars ni Nyota wa Taifa siyo Nyota ya Taifa.Alishindwa kuja wakati wa taifa star na uganda, watu wengine siyo wazalendo kabisa
Bakuli mbona halijai?... Umechangia ngapi hadi KAKOLANYA AnawadaiYanga watu wote wana pesa. Inaweza kuwa kidogo. Simba, ni Mo pekee ana pesa. Akiugua ghafla....
Nyingi tu.Bakuli mbona halijai?... Umechangia ngapi hadi KAKOLANYA Anawadai
Pale mikumi Simba watamfanya kitoweo.