Shabiki anatembea Mbeya kuja Dar kuishuhudia Simba na TP Mazembe

Ukiambiwa thibitisha kuwa kapanda pikipiki utaweza??Wewe sema tu siamini kama katembea,lakini ya kusema kapanda pikipiki wakati hujamuona achana nalo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angekuwa mzungu mngeona kawaida kwakuwa n mbongo mna hate.... sio poa watanzania.... tumsupport mwana

Sent using Jamii Forums mobile app
Maana nakumbuka kombe la dunia la Russia kuna shabiki alitoka Korea kwa baiskeli na alionyeshwa na vyombo vingi vya habari kama shabiki wa kweli na kupewa pongezi nyingi
 
Hawajui huko mikoani hata hao simba huwa tunawapanda mgongoni kama farasi na hawafanyi kitu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nazani kuna vipande ataomba lift atatembea sehem ambayo kuna watu wengi ili wamuone ..ila ni ushabiki uliofika level ya ujinga na hata angekua mzungu isingebadili huo ujinga wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiuhalisia jamaa sio rahisi kufika dar kutoka mbeya kwa miguu tuacheni ushabiki kama nyie wa mikoani mnaweza tembea magar mnapanda ya nini...kingine huko porini huyo simba mwenyewe hajui kama anaitwa simba anachojua ni kuwinda na kula tuh boya yeyote ataepita hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa kama dakika 15 zilizopita nimepisha nae picha ya ndege kibaha, katoboa
 
Kuna jamaa kama chizi huwa anatoka Ilula kwa miguu kwenda Morogoro mjini. Kwa wale madereva wa maroli huwa wanamwita kumpa lifti huwa anakataa.

Jamaa huwa anaipasua Mikumi kwa miguu na kila wiki lazima umuone barabarani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikia " KITU YA MBEYA" imeshashinda kwa mbali " KITU YA ARUSHA @ CHUGA" na " KITU YA TARIME"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…