Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,680
Akidandia Lori Makambako SAA 12 unadhani mpaka Asubui Lori litakuwa limefika wapi??si angekuwa kashafika toka juzi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akidandia Lori Makambako SAA 12 unadhani mpaka Asubui Lori litakuwa limefika wapi??si angekuwa kashafika toka juzi?
Huku tunachanganya na kitu ya MalawiNasikia " KITU YA MBEYA" imeshashinda kwa mbali " KITU YA ARUSHA @ CHUGA" na " KITU YA TARIME"
Umenikumbusha Marehemu Jomo Kenyatta alitembea kwa miguu toka Nairobi mpaka KenyaNyerere alitembea kutoka musoma hadi Mwanza,
aaaah! Kibamba sio DSM! Mwambie aje mpk Kisutu- stand ya mabasi ya zamani!Jamaa amefika aisee kama utani....amepokelewa kibamba kona kwa tetema
AiseeeJamaa kama dakika 15 zilizopita nimepisha nae picha ya ndege kibaha, katoboa
HahaaaWanaume wa daslam bhana, basi tuseme hajatembea kote alikotoka hebu na nyie tembeeni toka huko mliko hadi picha ya ndege tu dadeki zenu.
Atatoka nduki maeneo ya mbugani palePale mikumi Simba watamfanya kitoweo.
Acha uzembe wewe mbona hata 100km mtu anatembea kwa siku! Mie binafsi naweza amka saa 11 alfajiri nikaanza kutembea mpaka kufikia 11 jioni nikawa naitafuta chalinze! Niwe na earphones nzuri nakula mziki taratibu tu na chupa yangu ya maji!Mbeya to dar ni km 700. Sasa kadiria kwa siku atatembea km35 inamaana atatumia 20 days. Siyo rahisi kuweza kutembea kila siku miguu itachubuka lazima.
Acha uzembe wewe mbona hata 100km mtu anatembea kwa siku! Mie binafsi naweza amka saa 11 alfajiri nikaanza kutembea mpaka kufikia 11 jioni nikawa naitafuta chalinze! Niwe na earphones nzuri nakula mziki taratibu tu na chupa yangu ya maji!
Yeah mkuu, nakubali kabisa. Ikibidi unakula pensi nyanya za mazoezi zile ambazo hazibani mapaja. Juu una cap yako flani, unafika freshi kabisa!Kabisa mkuu,Nimewahi kusukuma 120Km kuanzia saa tatu asubuhi hadi saa nne usiku
Tip: Lazima upake mafuta kwenye mapaja ili kupunguza friction laa sivyo utafika na vidonda mapajani