Shabiki avamia uwanja na kumkumbatia Rooney

Nobaki naosi iwe mshaija Hiyo ni according to your own perceptions lakini hicho kitu kipo na kinatokeaga Mara nyingi uwanjani, watu wanatafta namna ya kukaa kwenye font fed na mpaka mda huu akafanikiwa azma yake.

Senti furomu mai tekino wereva yuzingi jamii foramu mobaili apu
 
Teh teh teh!!!!
Mkuu hapo hakuna adhabu ataachiwa tu, hii kitu sio bongo tu inatokea hata Ulaya so don't blame much.

Senti furomu mai tekino wereva yuzingi jamii foramu mobaili apu
 
We endelea na siasa tu mpira sio nyanja yako.

Senti furomu mai tekino wereva yuzingi jamii foramu mobaili apu
 
Wabongo kwa kukuza mambo, naona baadhi ya watu wanata kukifanya kichuguu kionekane ni mlima.( Making a mountain out of a molehill). Ni matukio ya kawaida kwenye michezo hakuna cha ajabu hapo, na haijaanza kutokea jana. Wenye kumbukumbu zao wanakumbuka Brazil walipokuja hapa kuna mshabiki mmoja pia alimkimbilia Kaka. Hispania kulikuwa mechi kati ya Barca na Asernal kuna mshabiki wa Barca aliingia uwanjani akampa Thiery Henry jezi ya Barca. Na baadaye Henry aliamia Barca. Matukio kama hayo ni mengi sana kwenye soka.
 
Sometimea waAfrica tunajiaibisha tu.huyu mtu unaweza kuta toka utotoni mwake mpaka leo hajawahi kumkumbatia mama yake wala baba yake.

JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
Hata Ulaya hizi mambo zipo labda kama ww Co mfuatiliaji wa mpira lazima utadhani ni Africa peke yake

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Huenda jamaa hafuatilii mpira mbona mbele haya mambo yapo

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa keshapata platform, namshauri atoe singo yoyote au aakti muvi, wazee wa fursa clouds media wataanza kumtumia soon!!
 
Hivi mfano angemtia bisu wyne rooney ingekuwaje kwa sasa?
Kisu atoe wapi wakat wanasachiwa kabla ya kuingia, hiyo kawaida sana kwenye mpira, Kakà mwwnyewe ashavamiwa alivyokuja bongo akakumbatiwa, Messi na wachezaj wengne Duniani.

Ila naskia yule aliemkumbatiaga Kakà alimpata Linah, Sasa na huyu tuone atampata msanii gani maana wasanii wa bongo akili zao wanazijua wenyewe

sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Mpira siyo siasa watakuchukuliaje??wanachukulia hilo ni tukio la kimichezo.Unajua humu jamii forum kila kitu mtu anajikuta mjuaji umesahau ronaldinho mshabiki aliruka fens akaenda kumkumbatia,the same to Henry arsenal na Barcelona hivyo hivyo.Inaonyesha wazi ww Co mfuatiliaji wa mpira bali ni mfuatiliaji wa siasa

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Mkuu samahani kwa kuuliza hili swali, wewe ni shabiki wa soka kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…