Shabiki huyu kanichosha khaaa....

Aisee ungemmwagia mbegu huyo jamaa ili akuheshimu.
 
Ungemwambia Brazil lilikuwa koloni la Ureno baada ya hapo kama hatokuelewa basi muulize elimu yake
 
Mjinga uyo
Niliutambua uwezo wake kimaarifa ndio maana nilijifanya kutokujua kitu ili aendelee kunipa udambwi dambwi.
Baadae akaniambia wale wachezaji wa Uholanzi wanatokea Itali eti kwa kuwa jezi walizokuwa wamevaa zilikuwa na nembo ya Itali. Nikamwitikia ahaa.
 
[HASHTAG]#APAMBANENAHALIYAKEETU[/HASHTAG]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…