See For Me
JF-Expert Member
- Sep 7, 2022
- 479
- 1,495
Rest Easy..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BarikiwaPole na wewe kipenzi...
Yule ni Steve "Kulialia",alishahamia Azam ambako walimpa ajira kabisa,sas hivi anatembea na makamera viwanjaniHivi yule jamaa wa yanga analiekuwa analia anasema "sisi mashabiki ndio tunaoumia, kwani hujaona pale..." yupo wapi na anaitwa nani?
Rip pal#TANZIA: Shabiki wa Klabu ya Simba, Mjata Mjata, amefariki Dunia wakati akipatiwa matibabu mkoani Tanga. Mjata alikuwa mmoja wa wadau wa soka waliokuwa na mchango mkubwa katika kukuza mchezo wa soka, na hasa kupitia upendo wake kwa timu ya Simba SC.
Mjata Mjata ni miongoni mwa mashabiki waliojipatia umaarufu kupitia kipindi cha mashabiki #KipengaXtra cha East Africa Radio na EATV na alipewa jina la utani la #Mpakamafuta, pia alikuwa mwanachama wa EATV Jogging Club.
Kwa taarifa za awali Mazishi ya Mjata yatafanyika Kesho Februari 25, 2025 nyumbani kwao Korogwe Tanga.
Familia ya wafanya biashara wa Mwenge Dar es salaa enao ambalo Mjata Mjata alikuwa anafanyia shughuli zake za kila siku wameandaa utaratibu wa kuchangisha michango ili kufanikisha safari ya kwenda Tanga kwenye mazishi pamoja na kutoa pole kwa familia.
Kwa michango na utaratibu wa kusafiri tuwasiliane na Rajabu Athumani Namba yake ya simu 0678-252728.
Pumzika kwa Amani Mjata Mjata.