TANZIA Shabiki Maarufu Wa Simba SC Mjata Mjata maarufu kama mpaka Mafuta Afariki Dunia

Rip kamanda dah aisee nilikuwa nampenda sana hoja zake brda
 
RIP... ukisikia sauti yake utazani amechoka kumbe mwamba ni mwamba kabisa
 
Nmesikitishwa sana na kifo chake.. Mjata Mjata kuna muda alikua hapaki nafuta anaongea fact moja kati ya mashabiki wa Simba ambao hawakua na mihemko... Ila gafla sana aisee! Apumzike kwa amani
 
Nilisikia kuwa Anaumwa.
Nilikuwa nakaa Mikocheni mala nyingi nilikuwa napita mwenge na akina Kampista, Gosa nk.

Jamaaalikuwa mtu poa mno.
Alijua kuipenda simba na kuoenda mpira.

Pia alikuwa mkweli, kwenye kusifia anasifia na kwenye kuponda anaponda.

RIP. M J A TA M J AT A.
 
RIP Mjata.
Ile sauti yake ntaikumbuka sanaa. [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Inasikitisha Sana ,Mjata mjata alikuwa mchambuzi mzuri sana kwenye kipenga extra ,mpambano unakuwa mkali studio akiwa na nabii meja na mzee Mwenda.
 
Hivi yule jamaa wa yanga analiekuwa analia anasema "sisi mashabiki ndio tunaoumia, kwani hujaona pale..." yupo wapi na anaitwa nani?
Yule ni Steve "Kulialia",alishahamia Azam ambako walimpa ajira kabisa,sas hivi anatembea na makamera viwanjani
 

Attachments

  • Screenshot_20250224-181946.png
    1.1 MB · Views: 1
Rip pal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…