junky
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 413
- 978
Juma Nyoso hana makosa alibughudhiwa na kuwa provoked
Wakati mechi baina ya simba na Kagera kuisha na wachezaji kuelekea kwenye vyumba vya kubadilishia nguo ,shabiki mmoja wa simba alivunja sheria mara 3
1.Kwanza shabiki alitoka jukwaani na kuingia uwanjani ,hapa kavunja sheria
2.Pili baada ya kuingia uwanjani anaelekea karibu na vyumba vya kubadilishia nguo wapi ulaya unaona mshabiki anaingia ndani ya pitch hadi kwenye njia ya kuingia vyumba vya kubadilishia nguo
3.Tatu kmkaribia na kuanza kumpulizia vuvuzela sikioni Juma Nyosso na kumtolea maneno kedekede
Inabidi sasa kupitia tukio hili viwanja vya mikoani vibadilishwe mfumo ,wawekewe uzio wasipate nafasi ya kuingia kwenye pitch na kufanya wanavyotaka,sidhani kama mechi hii ingefanyika uwanja wa taifa tukio hili lingetokea
*Nyosso amekosea sana kwa kushindwa kuzuia hasira zake na alichofanya sio sahihi lakini inakuwaje mashabiki waingie ndani ya pitch ,na kuanza kupuliza vuvuzela sikioni kwa wachezaji waliopoteza mechi.
RPC wa Kagera atoa tamko[emoji115]
*Leo kulikuwa na mechi ya ligi kuu kati ya Kagera na simba."-Rpc
*Mechi ilikwenda salama hadi ilipomaliza kwa timu ya simba kuonekana kuwa mshindi kwa kupata magoli mbili bila."-RPC
*Sasa wakati wanatoka uwanjani mashabiki walikuwa ni wengi na alikuwepo mshabiki mmoja aliyeoneka ni mshabiki wa simba alikuwa na vuvuzela anapuliza,kwahiyo katika kupuliza kwake alikuwa anampulizia Juma Nyosso mchezaji wa Kagera ambaye timu yake imeshindwa.
*Ilikuwa katika hali ya ushabiki lakini huyu mchezaji wa Kagera sugar Juma Nyosso akageuka na kumkunja yule mshabiki na kumpiga kifuti."-Rpc
Wakati mechi baina ya simba na Kagera kuisha na wachezaji kuelekea kwenye vyumba vya kubadilishia nguo ,shabiki mmoja wa simba alivunja sheria mara 3
1.Kwanza shabiki alitoka jukwaani na kuingia uwanjani ,hapa kavunja sheria
2.Pili baada ya kuingia uwanjani anaelekea karibu na vyumba vya kubadilishia nguo wapi ulaya unaona mshabiki anaingia ndani ya pitch hadi kwenye njia ya kuingia vyumba vya kubadilishia nguo
3.Tatu kmkaribia na kuanza kumpulizia vuvuzela sikioni Juma Nyosso na kumtolea maneno kedekede
Inabidi sasa kupitia tukio hili viwanja vya mikoani vibadilishwe mfumo ,wawekewe uzio wasipate nafasi ya kuingia kwenye pitch na kufanya wanavyotaka,sidhani kama mechi hii ingefanyika uwanja wa taifa tukio hili lingetokea
*Nyosso amekosea sana kwa kushindwa kuzuia hasira zake na alichofanya sio sahihi lakini inakuwaje mashabiki waingie ndani ya pitch ,na kuanza kupuliza vuvuzela sikioni kwa wachezaji waliopoteza mechi.
RPC wa Kagera atoa tamko[emoji115]
*Leo kulikuwa na mechi ya ligi kuu kati ya Kagera na simba."-Rpc
*Mechi ilikwenda salama hadi ilipomaliza kwa timu ya simba kuonekana kuwa mshindi kwa kupata magoli mbili bila."-RPC
*Sasa wakati wanatoka uwanjani mashabiki walikuwa ni wengi na alikuwepo mshabiki mmoja aliyeoneka ni mshabiki wa simba alikuwa na vuvuzela anapuliza,kwahiyo katika kupuliza kwake alikuwa anampulizia Juma Nyosso mchezaji wa Kagera ambaye timu yake imeshindwa.
*Ilikuwa katika hali ya ushabiki lakini huyu mchezaji wa Kagera sugar Juma Nyosso akageuka na kumkunja yule mshabiki na kumpiga kifuti."-Rpc