Shabiki wa Simba aliyetembea kwa miguu ala shavu

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


Shabiki lialia amekutana na bodi ya wakurugenzi ya Simba na kupewa ofa ya kwenda Congo kushuhudia game ya TP Mazembe.

Shabiki huyo pia atasalia Dar kutazama mchezo wa nusu fainali dhidi ya Esperance ikiwa Simba SC itatinga nusu fainali
 
Mikia msiseme atujawaambia,match ya mwisho ya champion league pale lubumbashi,tp mazembe alimpa mwarabu goli 8,nyie ndie mnaofuata
 
Kuna ushahidi kweli alitembea? Au usanii tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…