Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Tatizo wanawale wetubhawa ni wabinafsi sana. Wakat kadir umri unavyosogea drive ya sex kwa mwanamke inapungua huku kwa mwanaume inaongezekaAache uoga hata Nabii Ibrahimu alipewa kijakazi na mke wake na wakaishi wote. Sasa na yeye atulie washiriki mume mmoja
Una uhakika? Sio kinyume chake?Tatizo wanawale wetubhawa ni wabinafsi sana. Wakat kadir umri unavyosogea drive ya sex kwa mwanamke inapungua huku kwa mwanaume inaongezeka
NI kimbele hivyo hivyoUba
Una uhakika? Sio kinyume chake?
Dah ndoa tamu sana hiyoDada mmoja ambaye ni Shabiki wa Simba aitwae Semeni amesema kuwa amevunja ndoa yake baada ya kumbetia mume wake Dada wa kazi endapo Prisons ikiifunga Simba amchukue Dada wa kazi awe mke wake.
"Nilimbetia mume wangu kwa Dada wa kazi,nilipoona tumepata ushindi wa goli sita kwa bila kwa mechi mbili mfululizo zidi ya TRA na baadae zidi ya Jwaneng nikaamu kumbetia mume wangu ambae pia ni shabiki wa Simba kuwa Prisons ikiifunga Simba amchukue Dada wa kazi awe mke wake,hapa nilipo kila nikimpigia simu mume wangu hapokei,najiandaa kurudi kijijini kwetu Songambele" alisikika Dada huyo.
Inawezekana urembo unapungua ila nguvu ziko pale pale KWA mwanamkeNI kimbele hivyo hivyo
Sio nguvu, matamanio yanapungua sana na hasa kwa ambaye ameshazaaInawezekana urembo unapungua ila nguvu ziko pale pale KWA mwanamke
Kuwa shabiki wa Simba raha sanaa... sasa dada wa lkazi anakua mke na mke anakua mchepuko mwenye mamlakaDada mmoja ambaye ni Shabiki wa Simba aitwae Semeni amesema kuwa amevunja ndoa yake baada ya kumbetia mume wake Dada wa kazi endapo Prisons ikiifunga Simba amchukue Dada wa kazi awe mke wake.
"Nilimbetia mume wangu kwa Dada wa kazi,nilipoona tumepata ushindi wa goli sita kwa bila kwa mechi mbili mfululizo zidi ya TRA na baadae zidi ya Jwaneng nikaamu kumbetia mume wangu ambae pia ni shabiki wa Simba kuwa Prisons ikiifunga Simba amchukue Dada wa kazi awe mke wake,hapa nilipo kila nikimpigia simu mume wangu hapokei,najiandaa kurudi kijijini kwetu Songambele" alisikika Dada huyo.
Nadhani nami huenda nikateuliwa maana uko huru sasa, naomba nikupe namba.Dada mmoja ambaye ni Shabiki wa Simba aitwae Semeni amesema kuwa amevunja ndoa yake baada ya kumbetia mume wake Dada wa kazi endapo Prisons ikiifunga Simba amchukue Dada wa kazi awe mke wake.
"Nilimbetia mume wangu kwa Dada wa kazi, nilipoona tumepata ushindi wa goli sita kwa bila kwa mechi mbili mfululizo dhidi ya TRA na baadae dhidi ya Jwaneng nikaamua kumbetia mume wangu ambae pia ni shabiki wa Simba kuwa Prisons ikiifunga Simba amchukue Dada wa kazi awe mke wake, hapa nilipo kila nikimpigia simu mume wangu hapokei, najiandaa kurudi kijijini kwetu Songambele" alisikika Dada huyo.
Mbona hili tunda ni kama yanayolimwa Israel, limeiva vizuri.Dah ndoa tamu sana hiyoView attachment 2928131
Hahahahahaha...yaani dah ..huu kweli umbumbumbuMbumbumbu katika ubora wao.