Shabiki wa Simba: Nilimbetia Mume wangu kwa Dada wa kazi kuwa Prisons ikiifunga Simba amchukue

Kwahiyo jamaa sasa hv anakula mzigo wa dada wa kazi kilaini kbs..hahahahaha
 
Kuna mambo mwanamke kuyashabikia hayafai,hadi anatamka ujinga huu mbele ya kadamnasi unaweza kuona jinsi amekuwa na akili mgando.
Kimsingi ushabiki qa mpira kwa mwanamke umekuja kutokana na anguko la kimaadili. Sasa ni kawaida kwa mwanamke kushangilia mpira au kwenda uwanjani au kwenye vilinge vya kuangalia mpira na kushabikia.

Zamani hakukuwa na wanawake mashabiki wa mpira. Wanawake wa hovyo na wahuni ndio wanaoshabikia mipira na siasa.
 
Habari za kimaskini zinazoletwa na maskini Kama wewe.
 
Aahaaaaa
 
Huyu Dada atakuwa ni Kalpana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…