Endelea tu kukwepa sindano za moto. 😀😀Unatafuta kwa kutokea tu. Pole sana, Yamkini leo utaacha ubishi wa kudai ushahidi kwa vile umeumia mno
Shubamit [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji4]
Bila shaka utakuwa mshabiki wa Arsenal mkuuNi ngumu sana kuhama timu.
😀Nojuavyo mimi ushabiki wa mpira na kabila hauna tofauti hata uichukie vipi kabila yako huwezi kuhama
Sent using Jamii Forums mobile app
Urahisi wa kuhama timu na ugumu wake tunaujua mashabiki wa Asenali.Bila shaka utakuwa mdhabiki wa Arsenal mkuu
Bila shaka utakuwa mshabiki wa Arsenal mkuu
Tukio lenyewe ni zito. miaka mitatu anahangaika kusaka milioni 2 bila mafanikio, kisha bila kutarajia wanakuja wana simba kimchezo mchezo wanaokoa uhai wa mwanao....hiyo ni furaha yake baada ya huzuni ya muda mrefu. Asante sana SIMBA SPORTS CLUB kuokoa maisha ya kijana huyuNi ngumu sana kuhama timu.
Wewe ni bure..loh!!! Haji Manara ni mtoto wa Sunday Manara " computer" aliyewika vilivyo na yanga. Sunday ni mdogo wa Kitwana Manara "Popat" na pia Sunday ni kaka wa Kasim ambao wote ni wachezaji wa zamani wa yanga, ingawa Kassim aling'ara zaidi akiwa Pan African na baadaye alihamia ulaya alikosakata soka mpaka mauti yalipomkuta. Hajji Manara kijana wa jangwani Kariakoo DSM hajawahi kushabikia yanga
Wakanushe tu lakini ndiyo keshaondoka hivyoKesho malapa wataita vyombo vya habari kukanusha maana yanga na ccm ni baba na mtoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ukweli kabisa. Watu hawatafakari kwa kina, wema kama huu utasubiri nini? Kwa ajili yeye hawezi kuilipa Klabu ya SimbaTukio lenyewe ni zito. miaka mitatu anahangaika kusaka milioni 2 bila mafanikio, kisha bila kutarajia wanakuja wana simba kimchezo mchezo wanaokoa uhai wa mwanao....hiyo ni furaha yake baada ya huzuni ya muda mrefu. Asante sana SIMBA SPORTS CLUB kuokoa maisha ya kijana huyu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kwakweli mashabiki wa Arsenal wanatafakari cha kufanya, hawakijui, wanabaki na donge rohoni[emoji3] [emoji3]Bila shaka utakuwa mshabiki wa Arsenal mkuu
[emoji81] [emoji81] [emoji85]Urahisi wa kuhama timu na ugumu wake tunaujua mashabiki wa Asenali.
Nilijaribu kuhama lakini nilijikuta nina jifanyia unafiki mimi mwenyewe. Nikaamuakukubali tu kufa kibudu..😀😀
Jina lako na akili zako ni sawa, I guess wewe sio mzazi and perhaps ulishanyofoa kizazi zama za kale!
Kwani mrema lyatonga yupo chama Gani Sasa?? Kama kitu hukijui si uulize kwa wanaojua???Upoyoyo huo mbona manara tulimchangia na hakuhama? Basi na mrema arudi chama cha zamani ccm maana ndio waliomtibia.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko tayari kufa na maradhi yanayonisumbua kuliko kuchangiwa fedha na Simba halafu eti nihamie huko!Ni ngumu sana kuhama timu.