Shabiki wa Yanga SC ahamia Simba SC baada ya mwanae kulipiwa fedha za matibabu katika Taasisi ya Moyo ya JKCI

Shabiki wa Yanga SC ahamia Simba SC baada ya mwanae kulipiwa fedha za matibabu katika Taasisi ya Moyo ya JKCI

Niko tayari kufa na maradhi yanayonisumbua kuliko kuchangiwa fedha na Simba halafu eti nihamie huko!

Mimi nikiwa Yanga, kupewa fedha na Simba ni kichefuchefu kabisa bila kujali hali niliyonayo kiuchumi na hata kiafya, ni sawa na kupewa mavi ya binadamu (tena uharo) hata kama ni fedha nyingi kiasi gani!
Huwa mnasema tu kwa mdomo. Pindi yakiwafika matatizo mnakuwa wepesi kama sufi

La msingi matatizo omba yasikufike, na huyo hakununuliwa wala ulaghai, bali imetokea tu bahati

Ila yeye kwa wema aliyefanyiwa hana cha kuwalipa Simba SC, akaona ahamishe mapenzi pale Msimbazi.
 
Huwa mnasema tu kwa mdomo. Pindi yakiwafika matatizo mnakuwa wepesi kama sufi

La msingi matatizo omba yasikufike, na huyo hakununuliwa wala ulaghai, bali imetokea tu bahati

Ila yeye kwa wema aliyefanyiwa hana cha kuwalipa Simba SC, akaona ahamishe mapenzi pale Msimbazi.
Narudia tena, niko tayari kufa na maradhi yaliyonifika kuliko kupokea uharo kutoka Simba.
 
ni kweli kabisa ni rahisi zaidi kuhama chama lakini sio timu.....hata ukihongwa na kurubuniwa kama madiwani wa chadema timu kuhama ni ngumu sana ndomana mashabikk wa arsenal wanabaki wanalalamika tuu kila siku ila bado hawahami
Si kweli, watu huwa tunahama timu kulingana na kocha au mchezaji tunaowampenda? Mfano, mimi na Michelle Platin. Alishasema wazi kuwa yeye ni shabiki wa Morinho.
 
Back
Top Bottom