OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hawa watu wanahitaji msaada wa kisaikolojia. TFF watoe onyo kwa Yanga na mashabiki wao,ipo siku watasababisha vurugu kubwa sana itakuwa too late. Wasiachwe hivi. Kwa upuuzi huu kuna siku watakuja kuzua vurugu kubwa.
Cheki tofauti kabisa na mashabiki wa Simba Sc,ni wastaarabu wametulia,wanatamba na kujiamini. Wakipata matokeo mabaya wanalaumiana na wachezaji wao. Sasa angalia hawa utopolo wamedroo na Mbeya City wanalaumu Simba Sc,anaulizwa kiwango cha wachezaji anajibu Sarpong ni machine. Haaaa haaa
Cheki tofauti kabisa na mashabiki wa Simba Sc,ni wastaarabu wametulia,wanatamba na kujiamini. Wakipata matokeo mabaya wanalaumiana na wachezaji wao. Sasa angalia hawa utopolo wamedroo na Mbeya City wanalaumu Simba Sc,anaulizwa kiwango cha wachezaji anajibu Sarpong ni machine. Haaaa haaa