Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You must be joking or else have got paranoiaMwamba Tanzania, shujaa wa Afrika na Rais wa karne
Mchoro iludiiiiiweeeeBinamu, mchoraji kadanganya, Magufuli alikuwa anavaa makoti makubwa aisee, yaani bonge la mjumba. Kumchora akiwa amevalia slim suit ni kumdhihaki.
Achorwe na makoti yake oversized vilevile
Huu wala siyo wivu, ni husda!Binamu, mchoraji kadanganya, Magufuli alikuwa anavaa makoti makubwa aisee, yaani bonge la mjumba.
Kumchora akiwa amevalia slim suit ni kumdhihaki.
Achorwe na makoti yake oversized vilevile
Kijana amefanya kazi nzuri sana. Big fiveMwamba Tanzania, shujaa wa Afrika na Rais wa karne
Tatizo tunaishia kujenga misanamu, lakini tunabomoa harakati zake nzuri za uzalendo na maendeleo kwa taifa. Unafiki huo kipimo chake hata Albert Einstein hakukivumbua!!!Sanamu zitajengwa, taasisi zitaanzishwa, michoro itachorwa na mengine mengiiii
Ujenzi wa sanamu ya dikteta nako ni ujinga wa viwangoSanamu zitajengwa, taasisi zitaanzishwa, michoro itachorwa na mengine mengiiii
hahahahahaUjenzi wa sanamu ya dikteta nako ni ujinga wa viwango
Binamu, mchoraji kadanganya, Magufuli alikuwa anavaa makoti makubwa aisee, yaani bonge la mjumba. Kumchora akiwa amevalia slim suit ni kumdhihaki.
Achorwe na makoti yake oversized vilevile
Uncle, dad, President, Mwamba, Shujaa....... ameenda lakini anaishiKijana amefanya kazi nzuri sana. Big five
Rest in peace uncle Magu, till we meet again 💪🏿
IrudiweeNimecheka balaaa binamu hahahaaa. Kwa hiyo ACHORWE TENA?
Undare mtakii, jamaa aendelee kujitaid na anakipaji kweliiSanaa nzuri kabisaa toka kwa Kijana mzalendo kabisa wa kitanzania
View attachment 1846341
View attachment 1846342
View attachment 1846344
Mwamba Tanzania, shujaa wa Afrika na Rais wa karne
Endelea kupumzika kwa amani President John Pombe Magufuli [emoji885][emoji120]