Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 3,978
- 6,739
Wachambuzi ๐๐ก๐๐๐๐ข ๐๐๐ฎ๐๐ & ๐๐๐ฆ๐๐๐๐ซ ๐๐๐ข๐ mna maoni gani kuhusu timu ya Yanga kubadili kikosi na kuamua kuwaweka Job, Paccome, Aziz & Chama nje? Hakuna tuhuma za kupanga matokeo hapa? Je ni kweli GSM anahusika na kuharibu ligi yetu? Tunasubiri makala zenu Waheshimiwa. ๐