Shaffi kwa nini humkubali Ronaldo?

Shaffi kwa nini humkubali Ronaldo?

Mimi ni muumini wa watu wanaomaster variety of things na kubaki the best!
Messi anachojua ni Mpira tu tena wa ligi ya Spain!
Akijichanganya kula bata na totoz kama cr7 mwezi mmoja tu, ataishia kusajiliwa na Njombe Mji!
Kama kweli ni mfalme wa football ahame timu achilia mbali league tuone
Very low kwani alipochaguliwa player bora wa dunia mara 5 alilinganishwa na lipuli?for ur information FiFA league bora ya kwanza duniani ni Spain for almost10 years consecutively
 
Kwa goli la Jana dunia ili overreact tu...
Lile ni goli la kawaida kila siku watu wanafunga tena katika mazingira magumu.
Lakini kisa Jana aliefunga ni Ronaldo basi people were all over licking his arsehole...
Ha ha ha tell them [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi ni muumini wa watu wanaomaster variety of things na kubaki the best!
Messi anachojua ni Mpira tu tena wa ligi ya Spain!
Akijichanganya kula bata na totoz kama cr7 mwezi mmoja tu, ataishia kusajiliwa na Njombe Mji!
Kama kweli ni mfalme wa football ahame timu achilia mbali league tuone
We haujui mpira,, point yako ni kuhama timu
 
Mimi ni muumini wa watu wanaomaster variety of things na kubaki the best!
Messi anachojua ni Mpira tu tena wa ligi ya Spain!
Akijichanganya kula bata na totoz kama cr7 mwezi mmoja tu, ataishia kusajiliwa na Njombe Mji!
Kama kweli ni mfalme wa football ahame timu achilia mbali league tuone
Acha ushamba! Toka lini kipimo cha ubora kikawa ni idadi ya ligi ulizocheza.
Mbona wengi wanaishia kuwa wazururaji tu na hawaambulii hata ballon d'Or moja.

Cha msingi usiwe limbukeni wa kumchambua Messi kwa mitazamo ya Waingereza wanaokwazika na staa huyo kutokutia mguu kwenye ligi yao.
 
Matatizo ya kujua mambo ya soka kwa njia za kubeti yanajidhihirisha hapa
 
Waswahili utawaweza na Mpira Wa mdomoni!!!!!!!
 
Mess alichomzid Ronaldo ni ball control tu basi akuna kingine mess amezaliw na kipaji chake miguuni but uyu mreno amekitafuta kipaji na amekipata kwaiyo kiupande wangu in ball control MESS yupo juu ila kwenye mambo mengine uwanjani ronaldo yupo juu ni mtazamo tu
 
Kwa goli la Jana dunia ili overreact tu...
Lile ni goli la kawaida kila siku watu wanafunga tena katika mazingira magumu.
Lakini kisa Jana aliefunga ni Ronaldo basi people were all over licking his arsehole...
[emoji23] [emoji23] ukweli mtupu, goli limekuzwa kisa kafunga Ronaldo nothing more ni la kawaida tu
 
Very low kwani alipochaguliwa player bora wa dunia mara 5 alilinganishwa na lipuli?for ur information FiFA league bora ya kwanza duniani ni Spain for almost10 years consecutively
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanazi wa Messi mmesubiri leo atupie lakini katoka kapa!!
Hakuna goli wala assist!
Na bado Cr7 atamnyoosha mpaka anyoe sharubu!
 
Back
Top Bottom