Siafu na Manga
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 2,884
- 8,956
kumbe ni mchangani...Goli la tikitaka hata mechi za mchangani watu wanafunga
Very low kwani alipochaguliwa player bora wa dunia mara 5 alilinganishwa na lipuli?for ur information FiFA league bora ya kwanza duniani ni Spain for almost10 years consecutivelyMimi ni muumini wa watu wanaomaster variety of things na kubaki the best!
Messi anachojua ni Mpira tu tena wa ligi ya Spain!
Akijichanganya kula bata na totoz kama cr7 mwezi mmoja tu, ataishia kusajiliwa na Njombe Mji!
Kama kweli ni mfalme wa football ahame timu achilia mbali league tuone
Ha ha ha tell them [emoji23][emoji23][emoji23]Kwa goli la Jana dunia ili overreact tu...
Lile ni goli la kawaida kila siku watu wanafunga tena katika mazingira magumu.
Lakini kisa Jana aliefunga ni Ronaldo basi people were all over licking his arsehole...
Ronaldo anashindana na Messi ila messi hashindani na ronaldokumbe ni mchangani...
tofauti tayari ipo hapo..
We haujui mpira,, point yako ni kuhama timuMimi ni muumini wa watu wanaomaster variety of things na kubaki the best!
Messi anachojua ni Mpira tu tena wa ligi ya Spain!
Akijichanganya kula bata na totoz kama cr7 mwezi mmoja tu, ataishia kusajiliwa na Njombe Mji!
Kama kweli ni mfalme wa football ahame timu achilia mbali league tuone
Acha ushamba! Toka lini kipimo cha ubora kikawa ni idadi ya ligi ulizocheza.Mimi ni muumini wa watu wanaomaster variety of things na kubaki the best!
Messi anachojua ni Mpira tu tena wa ligi ya Spain!
Akijichanganya kula bata na totoz kama cr7 mwezi mmoja tu, ataishia kusajiliwa na Njombe Mji!
Kama kweli ni mfalme wa football ahame timu achilia mbali league tuone
ahamie ligi nyingene ili tuone kweli yaliomo yamo?Huwezi kumfananisha Messi na uchafu unaoitwa Ronaldo
[emoji23] [emoji23] ukweli mtupu, goli limekuzwa kisa kafunga Ronaldo nothing more ni la kawaida tuKwa goli la Jana dunia ili overreact tu...
Lile ni goli la kawaida kila siku watu wanafunga tena katika mazingira magumu.
Lakini kisa Jana aliefunga ni Ronaldo basi people were all over licking his arsehole...
ExactlyTrue definition of hard working ndo kitu pekee nilichochukua kwa Ronaldo.
Anaionyesha na kuiambia dunia kwamba if we want something as bad as O2 to survive can be archieved.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umeshawakata maneno
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Very low kwani alipochaguliwa player bora wa dunia mara 5 alilinganishwa na lipuli?for ur information FiFA league bora ya kwanza duniani ni Spain for almost10 years consecutively
Kama hashindani akae benchi!Ronaldo anashindana na Messi ila messi hashindani na ronaldo