Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Hakuna mwandishi mwenye Maadili anaweza kuita wachezaji kikundi cha wahuni, otherwise yeye mwenyewe awe mhuni mwandamizi.Leo nina swali moja tu, nani anamtuma shaffih kuitukana na kuisakama Yanga? yaani wachezaji wetu wahuni? Huyu inabidi afunzwe adabu kwanza
View attachment 2018011