Hakuna mwandishi mwenye Maadili anaweza kuita wachezaji kikundi cha wahuni, otherwise yeye mwenyewe awe mhuni mwandamizi.Leo nina swali moja tu, nani anamtuma shaffih kuitukana na kuisakama Yanga? yaani wachezaji wetu wahuni? Huyu inabidi afunzwe adabu kwanza
View attachment 2018011
Nakubaliana na wewe, ndo maana hatufiki mbali kimataifa maana bongo janja janja nyingi sanaRefa shida yake ilikuwa goli lifungwe, hayo mengine wala hakuhangaika nayo.
For sure aseeeRefa shida yake ilikuwa goli lifungwe, hayo mengine wala hakuhangaika nayo.
Wahuni tu! Yeyote asiyefata sheria mhuni tu ...[emoji6]Leo nina swali moja tu, nani anamtuma shaffih kuitukana na kuisakama Yanga? yaani wachezaji wetu wahuni? Huyu inabidi afunzwe adabu kwanza
View attachment 2018011
SwadaktaaaWahuni tu! Yeyote asiyefata sheria mhuni tu ...[emoji6]
Refa anaongozwa na sheria 17 za mpira, hakuna cha makosa ya kibinadamu. Refa alijua alichokuwa anakifanya.Makosa tu ya kibinadamu ya refa hata makolo nao hupendelewa sometimes.
muhuni mwingine huyu hapa,mashoga nyinyi,wahuni nyinyiHuyu shafii asubiri kuna siku nakozi atazipata mchanaaaa siku yaja