Shaffih dauda acha chuki za kipuuzi kwa viongozi wa simba .haujui lolote zaidi unataka tu upate nafasi umekosa balance na huna sifa za kiuandishi,

Shaffih dauda acha chuki za kipuuzi kwa viongozi wa simba .haujui lolote zaidi unataka tu upate nafasi umekosa balance na huna sifa za kiuandishi,

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Mtu kama shaffih ukikaa kumtafakari unakuta huoni sababu na tija ya uandishi wake ! Shaffih yeye sio mwandishi wa habari ila ni mchochezi na mfitini ,akiona mahali pana mafanikio dakika moja anabadilika ,Leo anaiona simba na uongozi wote hasa upande wa mo ! Hawastahili kuiongoza ,huyohuyo shaffih wakati simba inafanya vizuri alikuwa abaisifia na wakati mwingine kuomba kusafiri na timu !ati Leo yupo na akina mangungu na kigwangala wanatumia kalamu yake kusambaratisha umoja wa viongozi wa simba ..kwanza hana balance story ,anashambulia tu upande mmoja ,kiuandishi huo ni ukanjanja! Anapiga domo tu kasuku ! Sijui nani alimwajili shaffih? Alitumia vigezo gani? Ninani huwa anafuatilia vipindi vya shaffih na akamwelewa? Shaffih ni mpiga dili anatamani madaraka lakini hatayapata mwehu huyu
 
Mtu kama shaffih ukikaa kumtafakari unakuta huoni sababu na tija ya uandishi wake ! Shaffih yeye sio mwandishi wa habari ila ni mchochezi na mfitini ,akiona mahali pana mafanikio dakika moja anabadilika ,Leo anaiona simba na uongozi wote hasa upande wa mo ! Hawastahili kuiongoza ,huyohuyo shaffih wakati simba inafanya vizuri alikuwa abaisifia na wakati mwingine kuomba kusafiri na timu !ati Leo yupo na akina mangungu na kigwangala wanatumia kalamu yake kusambaratisha umoja wa viongozi wa simba ..kwanza hana balance story ,anashambulia tu upande mmoja ,kiuandishi huo ni ukanjanja! Anapiga domo tu kasuku ! Sijui nani alimwajili shaffih? Alitumia vigezo gani? Ninani huwa anafuatilia vipindi vya shaffih na akamwelewa? Shaffih ni mpiga dili anatamani madaraka lakini hatayapata mwehu huyu
Kabla ya kuja na hii mada yako, ulitakiwa kwanza kunywa maji mengi ili kupunguza hasira na presha kwenye mwili.
 
Kama anabadadilika kulingana na namna uongozi unavyofanya kazi! ni dhana ileile ya kukosoa wakikosea na kuwapongeza kama wanafanya vizuri. Anatumia haki yake ya kikatiba sioni ubaya wake
 
Mtu kama shaffih ukikaa kumtafakari unakuta huoni sababu na tija ya uandishi wake ! Shaffih yeye sio mwandishi wa habari ila ni mchochezi na mfitini ,akiona mahali pana mafanikio dakika moja anabadilika ,Leo anaiona simba na uongozi wote hasa upande wa mo ! Hawastahili kuiongoza ,huyohuyo shaffih wakati simba inafanya vizuri alikuwa abaisifia na wakati mwingine kuomba kusafiri na timu !ati Leo yupo na akina mangungu na kigwangala wanatumia kalamu yake kusambaratisha umoja wa viongozi wa simba ..kwanza hana balance story ,anashambulia tu upande mmoja ,kiuandishi huo ni ukanjanja! Anapiga domo tu kasuku ! Sijui nani alimwajili shaffih? Alitumia vigezo gani? Ninani huwa anafuatilia vipindi vya shaffih na akamwelewa? Shaffih ni mpiga dili anatamani madaraka lakini hatayapata mwehu huyu
Basi sawa
 
Back
Top Bottom