Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,296
- 18,027
Hii ni sawa na kumjibu Mengi kwa yaliyoandikwa kwenye gazeti la Nipashe.
Blog ni ya Shafii Dauda lakini kuna wandishi wengi humo. Kwa nini asimjibu huyo Mbolembole moja kwa moja?
Anataka watu wanaoisifia tu Simba? After all, hayo ni mawazo ya mwandishi na si lazima iwe kweli.
Blog ni ya Shafii Dauda lakini kuna wandishi wengi humo. Kwa nini asimjibu huyo Mbolembole moja kwa moja?
Anataka watu wanaoisifia tu Simba? After all, hayo ni mawazo ya mwandishi na si lazima iwe kweli.