Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujamwelewa mtoa madaTifuatifua wamechemsha
...ooh!...Hujamwelewa mtoa mada
Vipi tena mkuu!?...ooh!...
Elimu ndogo hyo aliyonayo low mind Sana hyu kjnAdhabu aliyopewa Shaffih ni kubwa sana lakin ukifuatilia hili sakata utagundua Shafii anakosea sana wewe ni mjumbe wa mkutano mkuu mda uko bize kuniponda TFF kama ni malalamiko angeyapeleka TFF na sio mitandaoni.
Shafii angetakiwa ajiuzulu ujumbe wa mkutano mkuu wa TFF ili awe na uhuru wa kuiponda, alichokuwa anafanya Shafii ni undumilakuwili na unafiki.
Huwezi kuwa board member wa kampuni alafu uko bize kuiponda kwenye mitandao lazima watakuondoa tu watu Shafii ajifunze ethics za kazi.
Shafii ni mjumbe inamaana yeye pia ni sehemu ya TFF kutwa Yuko bize kuiponda TFF huo ni uzindaki na unafki