Shaffih Dauda, Prisca Kishamba na Yahya Njenge muombeni Edgar Kibwana 'awakopeshe' akili zake kubwa

Shaffih Dauda, Prisca Kishamba na Yahya Njenge muombeni Edgar Kibwana 'awakopeshe' akili zake kubwa

Mchambuzi Mnafiki Tanzania nzima Shaffih Dauda.....

"Sijaona kosa lolote kwa Injinia Hersi Said Rais wa Yanga SC kwa kauli yake ya wala mihogo."

Dauda Dhambi ya Njaa, Unafiki na Kujipendekeza kwa Viongozi wa Simba na Yanga inakutafuna na utaishia kubaya.

Najua leo umejitolea kumtetea Injinia Hersi Said (Rais wa Yanga SC) ili kesho ukampige mzinga na pia asiwe anakunyima tenda za kuuza jezi na merchandises za Yanga SC katika maduka yako.

Kumbe ndiyo maana hata mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC Haji Manara hakupendi kwakuwa wewe ni mnafiki na huwa unapenda mno kuwapiga mizinga ya hela wakubwa wa Simba na Yanga ili uishi hapa mjini. Hopeless kabisa!

Watangazaji Prisca Kishamba na Yahya Njenge.....

"Hersi hana kosa kwani mihogo ni chakula kinacholiwa kila siku na watu wa maisha yote tu."

Prisca Kishamba najua kuwa nawe katika walioomba ajira ya Usemaji wa Yanga SC ulikuwemo ila huyu huyu Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said unayejipendekeza kwake leo kwa kumtetea na kauli yake ya kuwaita wana Yanga SC ni wala mihogo alikutosa na kumpa Ally Kamwe.

Tunajua nawe hivi sasa unajipendekeza Kwake na Yanga SC Ili uwe unapewa kazi za Yanga SC na hata kuwa sehemu ya MC's wa Yanga SC katika matamasha yao (hafla zao).

Prisca Kishamba yule aliyeokolewa na kubadilishwa kimaisha na marehemu Boss Ruge (Marketing, Promotion, Creative and Entertainment Guru) baada ya kukuona ukiteseka na kutaabika na maisha yako magumu (yenye kutia huruma) siyo huyu wa leo.

Sitaki niseme mengi juu yako kwani nakujua ndani nje mpaka na ya ziada ila ngoja nichague tu kukutunzia siri zako zaidi. Badilika upesi na acha unafiki.

Yahya Njenge wewe ndiyo kabisa hata sitaki kupoteza muda nawe kwani dhambi ya ushamba (umbwiga) inakusumbua sana ndiyo maana hata akili zako zimekaa kiuvuvi uvuvi tupu kazi ambayo ndiyo unaiweza na ndiyo maana hata akili zako sometimes zimekaa kama samaki, yaani hujulikani uko nchi kavu au majini (upo upo tu).

Unaboa ile mbaya.

Mchambuzi mwerevu (intelligent) katika Wachambuzi wote wa michezo Clouds FM na Clouds Tv Edgar Kibwana....

"Acheni kumtetea Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said na kulirahisisha hili jambo. Ukweli ni kwamba yeye kama kiongozi wa taasisi kubwa kama ya Yanga SC amewakosea mno kwa kuwaita wala mihogo na anapaswa kuwaomba radhi wana Yanga SC na hata wanamichezo wote. Na atambue ya kuwa hii mihogo anayoidharau wengine ndiyo imewakuza, na mpaka kuwasomesha vyuo vikuu na leo ni watu wakubwa mno nchini."

Edgar Kibwana Mimi GENTAMYCINE sina Deni nawe na tayari kwa Kukataa Kwako kuwa Mnafiki na Mtu wa Kujipendekeza na kuendekeza Njaa kama Boss wako Shaffih Dauda na Watangazaji akina Prisca na Yahya tayari una Pepo yako Mbinguni umeshaandaliwa.

Mwisho kabisa Shaffih Dauda acha Kudanganya ( Kuhadaa ) Watu kwa kusema kuwa katika ile Video Clip ya Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said kusema ni Wala Mihogo alikuwa anatania na kucheka.

Wote tumeiona hiyo video clip na ukweli ni kwamba yapo maeneo aliyocheka kidogo ila alipofika katika suala la Yanga SC na mashabiki (wanachama) wake alikuwa amechukia (mkali kama mbogo), huku hata body language yake ikikuonyesha pamoja na uso wake. Sasa iweje leo mnafiki na muongo mmoja wewe utudanganye akina GENTAMYCINE tuliokuzidi akili, maarifa na jicho la kiutambuzi na kiuchambuzi katika masuala mtambuka?

Cc: Slim5, Mshuza2, Bujibuji Simba Nyamaume, SAGAI GALGANO, Daudi Mchambuzi etc
Genta kuna wachambuzi flani hivi wa radio moja si kubwa saanaaa, nahisi iko Zenj, inaitwa Bomba FM aisee kuna kichwa kiko pale kimenitoka jina anajua sana yule mwamba na pacha wake.

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Kivipi GSM anaharibu soka la Tanzania?
Anahonga sana Timu Pinzani, Wachezaji na Marefa ( Waamuzi ) wa Ligi Kuu ya NBC.

Na GSM anapata hiki Kiburi chote kwakuwa wana Ubia wa Kibiashara na Kiongozi Mmoja Mkuu Mstaafu mwenye Ushawishi mkubwa katika Serikali hii ya sasa ya Rais Samia.

Niendelee zaidi au kwa leo niishie hapa?
 
Kitu kidogo kinakuuuzwaa, utadhani raisi kawatukana kumbe walaa.

Ukimskiliza ile kauli yake kwa mtu anaejielewa wala haina dosari na ni kawaida kwa watu wengi kuiongea .

Ila media na mashabiki uchwara wameikuza mpaka ionekane ni bonge moja la story, sijui ni kukosa habari au ni nini aisee.

Kwani huwa hatuli mihogo?? Hapo hata angesema mtu kashiba makande, pilau , wali chipsi , baga bado watu wangeleta fyokofyoko tu.

Na nimependa sana msimamo wa raisi wetu, hajataka kubabaishwa wala kuyumbishwa na maneno ya mashabiki wachochezi wasioitakia mema timu na wachambuzi wa mchongo wanaojifanya kumtetea huku wanamng'ong'a.

Ukimuona huyu dogo anavojifanya kauli imemgusa kama kweli ni shabiki kindakindaki kumbe mamluki wa lunyasi.
Sikumbuki ni lini umewahi Kumiliki Akili.
 
Genta kuna wachambuzi flani hivi wa radio moja si kubwa saanaaa, nahisi iko Zenj, inaitwa Bomba FM aisee kuna kichwa kiko pale kimenitoka jina anajua sana yule mwamba na pacha wake.

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
Sijui na Siwajui. Mimi naishi Dar es Salaam utaniulizaje ya huko ( kule ) Visiwani Zanzibar iliko hiyo Redio yako tajwa hapa?
 
Anahonga sana Timu Pinzani, Wachezaji na Marefa ( Waamuzi ) wa Ligi Kuu ya NBC.

Na GSM anapata hiki Kiburi chote kwakuwa wana Ubia wa Kibiashara na Kiongozi Mmoja Mkuu Mstaafu mwenye Ushawishi mkubwa katika Serikali hii ya sasa ya Rais Samia.

Niendelee zaidi au kwa leo niishie hapa?
Ushindi wa tgo pesa

Ova
 
Anahonga sana Timu Pinzani, Wachezaji na Marefa ( Waamuzi ) wa Ligi Kuu ya NBC.

Na GSM anapata hiki Kiburi chote kwakuwa wana Ubia wa Kibiashara na Kiongozi Mmoja Mkuu Mstaafu mwenye Ushawishi mkubwa katika Serikali hii ya sasa ya Rais Samia.

Niendelee zaidi au kwa leo niishie hapa?
Ww amekuhonga nin huyo gsm Hadi ukamzalia mapacha
Mbumbumbu ww
 
Mchambuzi Mnafiki Tanzania nzima Shaffih Dauda.....

"Sijaona kosa lolote kwa Injinia Hersi Said Rais wa Yanga SC kwa kauli yake ya wala mihogo."

Dauda Dhambi ya Njaa, Unafiki na Kujipendekeza kwa Viongozi wa Simba na Yanga inakutafuna na utaishia kubaya.

Najua leo umejitolea kumtetea Injinia Hersi Said (Rais wa Yanga SC) ili kesho ukampige mzinga na pia asiwe anakunyima tenda za kuuza jezi na merchandises za Yanga SC katika maduka yako.

Kumbe ndiyo maana hata mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC Haji Manara hakupendi kwakuwa wewe ni mnafiki na huwa unapenda mno kuwapiga mizinga ya hela wakubwa wa Simba na Yanga ili uishi hapa mjini. Hopeless kabisa!

Watangazaji Prisca Kishamba na Yahya Njenge.....

"Hersi hana kosa kwani mihogo ni chakula kinacholiwa kila siku na watu wa maisha yote tu."

Prisca Kishamba najua kuwa nawe katika walioomba ajira ya Usemaji wa Yanga SC ulikuwemo ila huyu huyu Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said unayejipendekeza kwake leo kwa kumtetea na kauli yake ya kuwaita wana Yanga SC ni wala mihogo alikutosa na kumpa Ally Kamwe.

Tunajua nawe hivi sasa unajipendekeza Kwake na Yanga SC Ili uwe unapewa kazi za Yanga SC na hata kuwa sehemu ya MC's wa Yanga SC katika matamasha yao (hafla zao).

Prisca Kishamba yule aliyeokolewa na kubadilishwa kimaisha na marehemu Boss Ruge (Marketing, Promotion, Creative and Entertainment Guru) baada ya kukuona ukiteseka na kutaabika na maisha yako magumu (yenye kutia huruma) siyo huyu wa leo.

Sitaki niseme mengi juu yako kwani nakujua ndani nje mpaka na ya ziada ila ngoja nichague tu kukutunzia siri zako zaidi. Badilika upesi na acha unafiki.

Yahya Njenge wewe ndiyo kabisa hata sitaki kupoteza muda nawe kwani dhambi ya ushamba (umbwiga) inakusumbua sana ndiyo maana hata akili zako zimekaa kiuvuvi uvuvi tupu kazi ambayo ndiyo unaiweza na ndiyo maana hata akili zako sometimes zimekaa kama samaki, yaani hujulikani uko nchi kavu au majini (upo upo tu).

Unaboa ile mbaya.

Mchambuzi mwerevu (intelligent) katika Wachambuzi wote wa michezo Clouds FM na Clouds Tv Edgar Kibwana....

"Acheni kumtetea Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said na kulirahisisha hili jambo. Ukweli ni kwamba yeye kama kiongozi wa taasisi kubwa kama ya Yanga SC amewakosea mno kwa kuwaita wala mihogo na anapaswa kuwaomba radhi wana Yanga SC na hata wanamichezo wote. Na atambue ya kuwa hii mihogo anayoidharau wengine ndiyo imewakuza, na mpaka kuwasomesha vyuo vikuu na leo ni watu wakubwa mno nchini."

Edgar Kibwana Mimi GENTAMYCINE sina Deni nawe na tayari kwa Kukataa Kwako kuwa Mnafiki na Mtu wa Kujipendekeza na kuendekeza Njaa kama Boss wako Shaffih Dauda na Watangazaji akina Prisca na Yahya tayari una Pepo yako Mbinguni umeshaandaliwa.

Mwisho kabisa Shaffih Dauda acha Kudanganya ( Kuhadaa ) Watu kwa kusema kuwa katika ile Video Clip ya Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said kusema ni Wala Mihogo alikuwa anatania na kucheka.

Wote tumeiona hiyo video clip na ukweli ni kwamba yapo maeneo aliyocheka kidogo ila alipofika katika suala la Yanga SC na mashabiki (wanachama) wake alikuwa amechukia (mkali kama mbogo), huku hata body language yake ikikuonyesha pamoja na uso wake. Sasa iweje leo mnafiki na muongo mmoja wewe utudanganye akina GENTAMYCINE tuliokuzidi akili, maarifa na jicho la kiutambuzi na kiuchambuzi katika masuala mtambuka?

Cc: Slim5, Mshuza2, Bujibuji Simba Nyamaume, SAGAI GALGANO, Daudi Mchambuzi etc
MIHOGO FC
 
Acha unafiki pia broo shafi Yuko sahih Edgar ndio mnafiki
 
Mchambuzi Mnafiki Tanzania nzima Shaffih Dauda.....

"Sijaona kosa lolote kwa Injinia Hersi Said Rais wa Yanga SC kwa kauli yake ya wala mihogo."

Dauda Dhambi ya Njaa, Unafiki na Kujipendekeza kwa Viongozi wa Simba na Yanga inakutafuna na utaishia kubaya.

Najua leo umejitolea kumtetea Injinia Hersi Said (Rais wa Yanga SC) ili kesho ukampige mzinga na pia asiwe anakunyima tenda za kuuza jezi na merchandises za Yanga SC katika maduka yako.

Kumbe ndiyo maana hata mhamasishaji Mkuu wa Yanga SC Haji Manara hakupendi kwakuwa wewe ni mnafiki na huwa unapenda mno kuwapiga mizinga ya hela wakubwa wa Simba na Yanga ili uishi hapa mjini. Hopeless kabisa!

Watangazaji Prisca Kishamba na Yahya Njenge.....

"Hersi hana kosa kwani mihogo ni chakula kinacholiwa kila siku na watu wa maisha yote tu."

Prisca Kishamba najua kuwa nawe katika walioomba ajira ya Usemaji wa Yanga SC ulikuwemo ila huyu huyu Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said unayejipendekeza kwake leo kwa kumtetea na kauli yake ya kuwaita wana Yanga SC ni wala mihogo alikutosa na kumpa Ally Kamwe.

Tunajua nawe hivi sasa unajipendekeza Kwake na Yanga SC Ili uwe unapewa kazi za Yanga SC na hata kuwa sehemu ya MC's wa Yanga SC katika matamasha yao (hafla zao).

Prisca Kishamba yule aliyeokolewa na kubadilishwa kimaisha na marehemu Boss Ruge (Marketing, Promotion, Creative and Entertainment Guru) baada ya kukuona ukiteseka na kutaabika na maisha yako magumu (yenye kutia huruma) siyo huyu wa leo.

Sitaki niseme mengi juu yako kwani nakujua ndani nje mpaka na ya ziada ila ngoja nichague tu kukutunzia siri zako zaidi. Badilika upesi na acha unafiki.

Yahya Njenge wewe ndiyo kabisa hata sitaki kupoteza muda nawe kwani dhambi ya ushamba (umbwiga) inakusumbua sana ndiyo maana hata akili zako zimekaa kiuvuvi uvuvi tupu kazi ambayo ndiyo unaiweza na ndiyo maana hata akili zako sometimes zimekaa kama samaki, yaani hujulikani uko nchi kavu au majini (upo upo tu).

Unaboa ile mbaya.

Mchambuzi mwerevu (intelligent) katika Wachambuzi wote wa michezo Clouds FM na Clouds Tv Edgar Kibwana....

"Acheni kumtetea Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said na kulirahisisha hili jambo. Ukweli ni kwamba yeye kama kiongozi wa taasisi kubwa kama ya Yanga SC amewakosea mno kwa kuwaita wala mihogo na anapaswa kuwaomba radhi wana Yanga SC na hata wanamichezo wote. Na atambue ya kuwa hii mihogo anayoidharau wengine ndiyo imewakuza, na mpaka kuwasomesha vyuo vikuu na leo ni watu wakubwa mno nchini."

Edgar Kibwana Mimi GENTAMYCINE sina Deni nawe na tayari kwa Kukataa Kwako kuwa Mnafiki na Mtu wa Kujipendekeza na kuendekeza Njaa kama Boss wako Shaffih Dauda na Watangazaji akina Prisca na Yahya tayari una Pepo yako Mbinguni umeshaandaliwa.

Mwisho kabisa Shaffih Dauda acha Kudanganya ( Kuhadaa ) Watu kwa kusema kuwa katika ile Video Clip ya Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said kusema ni Wala Mihogo alikuwa anatania na kucheka.

Wote tumeiona hiyo video clip na ukweli ni kwamba yapo maeneo aliyocheka kidogo ila alipofika katika suala la Yanga SC na mashabiki (wanachama) wake alikuwa amechukia (mkali kama mbogo), huku hata body language yake ikikuonyesha pamoja na uso wake. Sasa iweje leo mnafiki na muongo mmoja wewe utudanganye akina GENTAMYCINE tuliokuzidi akili, maarifa na jicho la kiutambuzi na kiuchambuzi katika masuala mtambuka?

Cc: Slim5, Mshuza2, Bujibuji Simba Nyamaume, SAGAI GALGANO, Daudi Mchambuzi etc
Shafihi akiwa na njaa hakuna mchambuzi Tanzania yuko salama kama mtu anayeweza kwenda ulaya zaidi ya mara nne kwa mwezi anayo njaa sijajua itakuwaje Kwa wachambuzi wa kawaida
 
Inasemekana mihogo ni chakula pengwa sana kwa Nguruwe. Ndio maana Utopoloz wamekasirika maana wameshachoka kuitwa majina ya wanyama...

Vyura (Makazi yao makuu bwawani)
Wanabweka (madogi?l) kwa mujibu wa kocha
Manyani (kocha)
Sasa hii ya mihogo imeletwa na Rais wa timu... sasa Utopolo wanaogopa kufananishwa na kitimoto.....

Au nasema uongo ndugu zangu

Hili nalo mkalitazame
😂😂😂
 
Na wewe ebu punguza posts zako hapa. Unashinda na kukesha hapa. Kaaaaah
 
Na wewe ebu punguza posts zako hapa. Unashinda na kukesha hapa. Kaaaaah
Pumbavu nakula Kwako au unanipa Hela au unaninunulia Bando la kuwa hapa 24/7? Mbona nawe huwa 'Unakandwa' Saa zote hushangai / hujishangai?
 
Anahonga sana Timu Pinzani, Wachezaji na Marefa ( Waamuzi ) wa Ligi Kuu ya NBC.

Na GSM anapata hiki Kiburi chote kwakuwa wana Ubia wa Kibiashara na Kiongozi Mmoja Mkuu Mstaafu mwenye Ushawishi mkubwa katika Serikali hii ya sasa ya Rais Samia.

Niendelee zaidi au kwa leo niishie hapa?
Tangu GSM awe na yanga haina shaka kuwa simba mara nyingi hajapata matokeo mazuri inamaana nao wanahongwa na huyo GSM?
 
Matraaako wa simba aka mbumbumbu mnahangaika sana na Yanga kipi kinakuwasheni huko nindukumi? Lini mmeanza kuionea huruma Yanga taasisi kubwa na mashabiki zake? Siku zote kuanguka kuteteleka na kudhalilishwa Yanga si ndio furaha yenu wewe ndo mnafiki namba moja humu jukwaani na hata kwenye maisha yako ya kawaida. 1 idiot
 
Back
Top Bottom