Shaffih Dauda umezidi uchawa

Shaffih Dauda umezidi uchawa

Sio kwamba ni Agent na yeye hapo yupo Kazini ?

Kwahio Uchawa hapana atleast kama una ushahidi anakula pesa zao bila kufanya kazi husika basi muite Kupe ila sio Chawa....
 
Nasemajeee!

Napenda kukuambia ndugu Shaffih Dauda, uchawa umezidisha.. utaacha lini?

Alivyotoka Mbwana Samatta, kimbele mbele kikakuanza. Ukawa hukauki kwenda ubelgiji.

Akatoka bwana mdogo Kelvin John "Mbappe" na wewe kama kawaida yako hujiwezi!

Sasa hivi umeamia kwa Novatus Dismas Miroshi..

Bro kwahiyo Mtanzania akishatoboa soka la ulaya wewe ndo uanze kujifanya unasapoti? Kabla hawajatoboa ulikua wapi?

Sasa hivi Mbwana yuko PAOK kwa kuwa anaelekea ukingoni ndo unajifanya umemkataa!

Najua upo humu Jf japo unamtumia kijana wako kupitia ID fake.

Sisi tunaku-zoom tu, hayo sio maisha!

View attachment 2756081
Kama hujui kitu uwe unanyamaza au unauliza. Unaonekana mjinga kwa kupayuka vitu usivyovijua.
 
Dauda alimtafutia timu nova ulaya,bt nova alikua hajakomaa na hayupo fit,so dauda akafanya mpango dogo aende biashara utd ili akacheze,japo timu nyingi kubwa bongo zilimtaka,kakipiga biashara dogo akawa mchezaji bora chipukizi,.huyo unae muita chawa kalipa nauli,visa dogo kaenda israel
 
Back
Top Bottom