Shaffih Dauda vs C.E.O Babra, simba tukatae huu upuuzi

Aondoke alikuepo yondan vidic , okwi, kotei chuma ,n.k na viongoz wa simba wakimsaini shabalala watakua wajinga wakubwa na wamekubali zarau kutoka kwa meneja ropo ropo mzozo

Kama anahitaji mchezaji wake apewe maslai mazur ndio alopoke mtaani huku waweke dau lao mezani na viongoz watafakari tunataka m 100 je mnatupa ? Salary m 10 IPO? Aipo mchezaji wangu ana ondoka basi sio kuropoka nasema tena viongoz wa simba wakimsain watakua wamekubali kuzarauliwa wamwache shabalala akachukue izo million 23 za mshahara kwa mwez uko sauz na mi 100 ya usajili saaaafi kijana anenepe ila isiwe ka singano tu saiz sjui ni muokota mipira uko zambia kwa hisani ya uzwazwa wa shafiii dauda
 
 

Attachments

  • Yanga wanalia.mp4
    6.3 MB
Mchezaji ahame SIMBA AENDE WAPIII?
 
Mtoa uzi ni utopolo! Sasa mtendaji akionekana kwenye vyombo vya habari na kazi inaonekana kuna tatizo gani? Utopolo mnateseka sana!! Njaa tu na wivu unawasumbua!
 
Hivi katika hali ya kawaida unaachaje Shabalala hadi anabakisha miezi miwili mkataba kwisha?!
Yeye Tshabalala ndio anatakiwa ajiulize inakuaje hadi inabaki miezi miwili hajaitwa kusaini kandarasi mpya? Simba ya sasa kwa ukubwa wake sio ya kumfuata mchezaji, bali mchezaji ndio anatakiwa ahangaike kusajiliwa Simba
 
MbonaTshabalalanaona picha zimezagaa mitandaoni amesaini simba pamoja na Bocco?
 
Niligundua uyu CEO ni mbumbumbu wa soka pale wadau wanapo hoji baadhi ya wachezaji wanaelekea kumaliza mikataba lakini siku zinakwenda na hawa wapi mikataba mipya.
CEO anadai Kwasasa Simba vipaumbele vyao ni michuano ya Ligi ya mabingwa. Nikagundua uyu CEO yupo pale kulinda maslahi ya Bwanyenye MO.
hajui kabisa dunia ya mpira inakwendaje maana kwa kauli Kama Ile ingekua ulaya ingewashangaza wadau wa soka na ungekua mjadala mkubwa.
 
Mantiki yako ni kuwa tunalipa kwa 'ugeni' na sio kwa 'kazi ya mtu uwanjani'? Kuna shida sehemu, tunawachukulia pia sana wachezaji wetu wandani. Mpira ni kazi kwa mchezaji, utamu wa kazi ni kulipwa kulingana na makubaliano (mkataba). Kwa mtazamo wangu mchezaji hapaswi kuwa na mapenzi na timu sana kuliko kazi; awe mapenzi na kazi kisha timu.
Kama jamaa anaona huduma yake ni kubwa kwenye timu na inastahili kulipiwa vikubwa, meza iwekwe vinginevyo aruhusiwe kwenda kwenye marisho mengine alikoona huduma yake itagharamiwa inavyopaswa!
 
Kaka hiyo ndiyo stahili ya kuendesha soka la Bongo bila kelele mambo hayaendi...na Mwalimu na mwanzilishi wa hii kitu ni MO mwenyewe alimuondoa Mwenyekiti wa wanachama kwa Tweeter na sasa anataka kuwagaragaraza FCC kwa Tweeter aichukue Club asubuhi na mapema. Haki ya Mungu bila kelele hizi za mitandao hawa wachezaji (Boko na Shabalala) wasingesaini mikataba nafuu leo
 
Tshabalala analipwa 3.5m as per mahojiano ya wakala wake, wakati huo huo Chikwende analipwa 12m na Kahata analipwa zaidi ya 10m, je hii ni sahihi ? Kuwa mzawa si dhambi, wachezaji walipwe vizuri kutokana na performance zao na sio nationality zao.
Tatizo ni meneja wake yeye si ndio alisimamia mkataba
 
Sasa mo si ndio anatoa pesa au kuna mwngne kwann asilinde maslai ya Mo au ulitaka iwe kama kwa gsm wanapigwa na wapigaji wanaletewa wachezaji hewa
 
Yeye Tshabalala ndio anatakiwa ajiulize inakuaje hadi inabaki miezi miwili hajaitwa kusaini kandarasi mpya? Simba ya sasa kwa ukubwa wake sio ya kumfuata mchezaji, bali mchezaji ndio anatakiwa ahangaike kusajiliwa Simba
Unaongea as if umeanza kufuatilia soka wakati wa Shujaa JPM!!

Hizo club kubwa tu zinahakikisha zina-extend mikataba ya key players mapema iwezekanavyo, seuze Simba!! Yaani kuingia Robo Fainali mara mbili tu, ndo mmeshajiona Al Ahly?!

Mnataka kuuza karibu 50% ya klabu yenu for less than USD 10 Million wakati Pyramid FC walitumia pesa zaidi ya hiyo kusajiri mchezaji mmoja tu!!

Nyie watu Manara anawajaza ujinga sana!!
 
Kashindwaje kwa mfano? Nimeona Dauda ana pre empty Barbra
 
Kashindwaje kwa mfano? Nimeona Dauda ana pre empty Barbra
kaona hadi pre contracts za zimbwe na kapombe kule yanga sc washapewa advance money kishika uchumba unatarajia tarehe 8 wasifungishe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…