IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,503
- 2,426
Aondoke alikuepo yondan vidic , okwi, kotei chuma ,n.k na viongoz wa simba wakimsaini shabalala watakua wajinga wakubwa na wamekubali zarau kutoka kwa meneja ropo ropo mzozo
Kama anahitaji mchezaji wake apewe maslai mazur ndio alopoke mtaani huku waweke dau lao mezani na viongoz watafakari tunataka m 100 je mnatupa ? Salary m 10 IPO? Aipo mchezaji wangu ana ondoka basi sio kuropoka nasema tena viongoz wa simba wakimsain watakua wamekubali kuzarauliwa wamwache shabalala akachukue izo million 23 za mshahara kwa mwez uko sauz na mi 100 ya usajili saaaafi kijana anenepe ila isiwe ka singano tu saiz sjui ni muokota mipira uko zambia kwa hisani ya uzwazwa wa shafiii dauda
Kama anahitaji mchezaji wake apewe maslai mazur ndio alopoke mtaani huku waweke dau lao mezani na viongoz watafakari tunataka m 100 je mnatupa ? Salary m 10 IPO? Aipo mchezaji wangu ana ondoka basi sio kuropoka nasema tena viongoz wa simba wakimsain watakua wamekubali kuzarauliwa wamwache shabalala akachukue izo million 23 za mshahara kwa mwez uko sauz na mi 100 ya usajili saaaafi kijana anenepe ila isiwe ka singano tu saiz sjui ni muokota mipira uko zambia kwa hisani ya uzwazwa wa shafiii dauda