Umesema 'key players', na upo sahihi kabisa. Ukiona hadi inabaki miezi miwili haujaitwa mezani na Simba kujadili extension ya mkataba, basi ujue wewe sio key player kwa Simba
Umesema 'key players', na upo sahihi kabisa. Ukiona hadi inabaki miezi miwili haujaitwa mezani na Simba kujadili extension ya mkataba, basi ujue wewe sio key player kwa Simba
Mbona baada ya habari kutoka nje hatimae walitoka mafichoni na kuwaongezea mikataba?Hebu tuache hizi porojo! Yaani seriously unaweza kutoka mbele na kuthubutu kusema Shabalala sio key player kwa Simba?!
Mbona baada ya habari kutoka nje hatimae walitoka mafichoni na kuwaongezea mikataba?Hebu tuache hizi porojo! Yaani seriously unaweza kutoka mbele na kuthubutu kusema Shabalala sio key player kwa Simba?!