Shafih Dauda: Wanaovujisha sauti ya Interview ya Feitoto CMG na kutulaumu hawana Akili

Shafih Dauda: Wanaovujisha sauti ya Interview ya Feitoto CMG na kutulaumu hawana Akili

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Ukienda kufanya Interview yoyote ile katika Redio tena katika Kipindi ambacho ni cha muda mchache (kama cha Saa Moja) huwa kunakuwa na Briefing juu ya kile ambacho Mgeni anaenda Kukisema Hewani. Hiyo Sauti inayotumika na kudaiwa imevuja haikuwa ni Mazungumzo Official baina ya Mchezaji na Waliokuwa wakimhoji bali yalikuwa ni Mazungumzo tu ya Kawaida wakati Matangazo yanapigwa ili kuendelea na Session ya Pili ya Mahojiano”

“Tatizo ni kwamba kuna Watu wanataka kupata Umaarufu kupitia hiyo Clip kwa Viongozi na Matajiri wa Klabu lakini pia wanalazimisha Kubalansi kile ambacho Wanatuhumiwa nacho na Mchezaji ili Kuwaaminisha Mashabiki. Na kuonyesha kuwa hicho Kipande kinachosambazwa hakina tatizo Kiutangazaji hadi muda huu kipo katika YouTube yetu ya Kipindi husika pamoja na Mahojiano yote" Shafih Dauda Mchambuzi wa Soka na Mmoja wa Mabosi Waandamizi wa CMG.

Chanzo: Sports Extra Clouds FM Usiku huu.

Na Mimi GENTAMYCINE kwa kumalizia nachukua nafasi hii kuitakia kila la kheri Klabu yangu pendwa Barani Afrika ya USM Alger katika Mchezo wake wowote (wa Ligi yao au Michuano mingine) ambayo itacheza.
 
"Ukienda kufanya Interview yoyote ile katika Redio tena katika Kipindi ambacho ni cha muda mchache ( kama cha Saa Moja ) huwa kunakuwa na Briefing juu ya kile ambacho Mgeni anaenda Kukisema Hewani. Hiyo Sauti inayotumika na kudaiwa imevuja haikuwa ni Mazungumzo Official baina ya Mchezaji na Waliokuwa wakimhoji bali yalikuwa ni Mazungumzo tu ya Kawaida wakati Matangqzo yanapigwa ili kuendelea na Session ya Pili ya Mahojiano. Tatizo ni kwamba kuna Watu wanataka kupata Umaarufu kupitia hiyo Clip kwa Viongozi na Matajiri wa Klabu lakini pia wanalazimisha Kubalansi kile ambacho Wanatuhumiwa nacho na Mchezaji ili Kuwaaminisha Mashabiki. Na kuonyesha kuwa hicho Kipande kinachosambazwa hakina tatizo Kiutangazaji hadi muda huu kipo katika YouTube yetu ya Kipindi husika pamoja na Mahojiano yote" Shafih Dauda Mchambuzi wa Soka na Mmoja wa Mabosi Waandamizi wa CMG.

Chanzo: Sports Extra Clouds FM Usiku huu.

Na Mimi GENTAMYCINE kwa kumalizia nachukua nafasi hii kuitakia kila la kheri Klabu yangu pendwa Barani Afrika ya USM Alger katika Mchezo wake wowote ( wa Ligi yao au Michuano mingine ) ambayo itacheza.
Uzuri wewe umesoma Chuo Bora kabisa barani Afrika. Huko ndo mlikuwa mnafundishwa kwamba chombo cha habari kikikuita kwenye mahojiano kinakufundisha na jinsi ya kujibu maswali? Mbona hatujawahi kuona wanasiasa wanakaririshwa majibu wanapoitwa studio Kwa mahojiano? Mnataka tuanze kuamni Yale yanayojibiwa na wahojiwa huwa yamepangwa na watangazaji?
 
Hawawezi kwani kuna tuhuma Moja hiyo Nzito nasikia Feitoto Kawatega na Wakijichanganya tu anailipua na Yanga SC kote, TFF pamoja na Ligi Kuu ya TFF kutachafuka.

Nakuja na Uzi wa hili muda si mrefu na Nitakutagi. Kuna HATARI naiona mbeleni hili lisipomalizwa haraka.
Naombaaa unitag mkuu, usisahau tafadhariii
 
Chanzo: Sports Extra Clouds FM Usiku huu.
Ukweli Clouds FM mmekwisha habari yenu! Mmejidhalilisha. Kumbe hamumtakii mema Feisal Salum na hamuitakii mema soka letu la Tanzania!

Yaani mnalisha mtoto ujinga kwa vipande vya "Mihogo" . Mmehatarisha brand ya Clouds FM na itawagharimu katika taswira ya tasinia ya habari za Burudani, ki ufupi mtakosa wateja!
 
Hawawezi kwani kuna tuhuma Moja hiyo Nzito nasikia Feitoto Kawatega na Wakijichanganya tu anailipua na Yanga SC kote, TFF pamoja na Ligi Kuu ya TFF kutachafuka.

Nakuja na Uzi wa hili muda si mrefu na Nitakutagi. Kuna HATARI naiona mbeleni hili lisipomalizwa haraka.
Mlisheni ujinga! Mzidi kumuharibu!!
Unadhani, maskauti professional wa soka wanaweza Tena kumpa ratings za juu kama zile za kabla hamjamtia ujinga?

Imeishakula kwake!!! Hakuna skauti wa kukimbizana na mpikiwa majungu!!! Ajiandae na chandimu!
 

Attachments

  • FB_IMG_1685678819686.jpg
    FB_IMG_1685678819686.jpg
    33.8 KB · Views: 4
Kinachowauma Simba ni hiki.
 

Attachments

  • FB_IMG_1685678819686.jpg
    FB_IMG_1685678819686.jpg
    33.8 KB · Views: 4
Utetezi wa kijinga kabisa huu.Yes huwa kuna hayo majadiliano lkn hajafikii kumfundisha mtu kitu cha kujibu.Jinga sana ww
 
Wabongo bana tuna shida sana aisee. Kipindi kinaruka live, sio recorded. Hakuna muda wa ku edit story hivyo content lazima iandaliwe carefully kabla ya kuongea.

Ukishamuachia Manara afikirie kwa niaba yako tayari unakua una tatizo. Huyo huyo aliewaambia timu nzima wenye akili ni wawili tu ndio mmemfanya mwenye akili wa tatu ili awasaidie kufikiria
 
Wabongo bana tuna shida sana aisee. Kipindi kinaruka live, sio recorded. Hakuna muda wa ku edit story hivyo content lazima iandaliwe carefully kabla ya kuongea.

Ukishamuachia Manara afikirie kwa niaba yako tayari unakua una tatizo. Huyo huyo aliewaambia timu nzima wenye akili ni wawili tu ndio mmemfanya mwenye akili wa tatu ili awasaidie kufikiria
Sasa kama unamlisha majibu ina umuhimu gani wa kuja kuhojiwa? Unasema kipindi ni live huku ushamseti kwamba hili jibu hivi ili vile duuuu!!!!
 
Uzuri wewe umesoma Chuo Bora kabisa barani Afrika. Huko ndo mlikuwa mnafundishwa kwamba chombo cha habari kikikuita kwenye mahojiano kinakufundisha na jinsi ya kujibu maswali? Mbona hatujawahi kuona wanasiasa wanakaririshwa majibu wanapoitwa studio Kwa mahojiano? Mnataka tuanze kuamni Yale yanayojibiwa na wahojiwa huwa yamepangwa na watangazaji?
Kuna tofauti ya kufundishwa jinsi ya kujibu maswali na kugundishwa majibu.
 
Mlisheni ujinga! Mzidi kumuharibu!!
Unadhani, maskauti professional wa soka wanaweza Tena kumpa ratings za juu kama zile za kabla hamjamtia ujinga?

Imeishakula kwake!!! Hakuna skauti wa kukimbizana na mpikiwa majungu!!! Ajiandae na chandimu!
Simba Sc ipo kwaajili yake kijana ili aweze kufurahia kipaji chake pia
 
Viongozi wa vilabu vya bongo huwa wanajionaga miungu watu. Niliwahi kuona na kusikia jambo kwenye ofisi (duka) za Kassim dewji pale Jamhuri miaka ya nyuma kidogo wakati ana nafasi Simba. Yuko yeye na swahiba wake Hasanoo [emoji23][emoji23].
Same to kina kaburu, wanajionaga Mungu. Kwa hii issue ya Hersi Siwezi kushangaa inaweza kuwa na ukweli kabisa. Feisal sio mtoto
 
Back
Top Bottom