Shafih Dauda: Wanaovujisha sauti ya Interview ya Feitoto CMG na kutulaumu hawana Akili

Shafih Dauda: Wanaovujisha sauti ya Interview ya Feitoto CMG na kutulaumu hawana Akili

GSM na Hersi watoke hadharani kukanusha tuhuma na madai ya Fei kwao, kwani ugumu uko wapiii???
Yani mimi ndio niwe GSM, alafu eti nijitokeze kujibu porojo za Fei? Like serious?

Eti Sheikh Mansoor ajitokeze kujibu tuhuma za KDB kabisa? Hivi mnazijua protocols kweli?
 
"Ukienda kufanya Interview yoyote ile katika Redio tena katika Kipindi ambacho ni cha muda mchache (kama cha Saa Moja) huwa kunakuwa na Briefing juu ya kile ambacho Mgeni anaenda Kukisema Hewani. Hiyo Sauti inayotumika na kudaiwa imevuja haikuwa ni Mazungumzo Official baina ya Mchezaji na Waliokuwa wakimhoji bali yalikuwa ni Mazungumzo tu ya Kawaida wakati Matangazo yanapigwa ili kuendelea na Session ya Pili ya Mahojiano”

“Tatizo ni kwamba kuna Watu wanataka kupata Umaarufu kupitia hiyo Clip kwa Viongozi na Matajiri wa Klabu lakini pia wanalazimisha Kubalansi kile ambacho Wanatuhumiwa nacho na Mchezaji ili Kuwaaminisha Mashabiki. Na kuonyesha kuwa hicho Kipande kinachosambazwa hakina tatizo Kiutangazaji hadi muda huu kipo katika YouTube yetu ya Kipindi husika pamoja na Mahojiano yote" Shafih Dauda Mchambuzi wa Soka na Mmoja wa Mabosi Waandamizi wa CMG.

Chanzo: Sports Extra Clouds FM Usiku huu.

Na Mimi GENTAMYCINE kwa kumalizia nachukua nafasi hii kuitakia kila la kheri Klabu yangu pendwa Barani Afrika ya USM Alger katika Mchezo wake wowote (wa Ligi yao au Michuano mingine) ambayo itacheza.
wamejua kujitetea,ila its too late to tell
 
Nimegundua watanzania mlio wengi hamna akili,hasa mashabiki wa yanga
Mimi Nina akili, hao mashabiki wa hio timu hapo nakubaliana na ww
NB:naitakia Kila lakheri timu yangu ya utotoni USM Algers,katika michezo yake
 
Yani mimi ndio niwe GSM, alafu eti nijitokeze kujibu porojo za Fei? Like serious?

Eti Sheikh Mansoor ajitokeze kujibu tuhuma za KDB kabisa? Hivi mnazijua protocols kweli?
Sasa km tuhuma ni binafsi na sio taasisi? Acha kukurupukaa wee.
 
Ni aibu Shafii nae bora angekaa kimya tu ,kwa hiyo breafing ndo Jamila anamwambia Fei alie
 
Sasa kama unamlisha majibu ina umuhimu gani wa kuja kuhojiwa? Unasema kipindi ni live huku ushamseti kwamba hili jibu hivi ili vile duuuu!!!!
Kwani wakili mahakamani hua ana kazi gani ikiwa mtuhumiwa uliefanya kosa upo na una uwezo wa kuongea?
 
EWE MWANANCHIIIII HAKIKA LEO NI SIKU AMBAYO TUNAENDA KUUDHIHIRISHIA ULIMWENGU KWAMBA YANGA NI KUBWA KIASI GANI NA TUNA UKUBWA KIASI GANI KATIKA SOKA.
NAJUA KUNA WATU HAWATA PENDA HISTORIA TUNAYOENDA KUIANDIKA LEO HII.


NIKUOMBE TU KAMA HUNA USTAHMILIVU NA TIMU YA YANGA USIANGALIE MECHI YA LEO.
MECHI HII NI KWA AJILI YA WABOBEZI WA SOKA.
💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
 
Back
Top Bottom