Shafih Dauda yuko Angola na Simba S.C, nimetokwa machozi

Shafih Dauda yuko Angola na Simba S.C, nimetokwa machozi

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Haki ya Mungu walahi Mungu amlinde tu Barbara Gonzalez, ana maadui wa wazi wazi wa Simba wako ndani ndani kabisa wakishirikiana na makanjanja mazoefu.

Lile jitu linalokesha kusambaza habari za uongo za Simba kushoto na kulia liko Angola tayari na inavyoonekana hadi mipango ya ndani ya Simba linashirikishwa.

Kama tu Tabata lina kashfa ya kizembe ya fedha ndogo (milioni 20) za ubingwa wa Ndondo Cup, kina Ali Kiba wakakataa pendekezo lake, sembuse De Agosto walitumie kufanya hujuma kambini hapo?

CEO ana maadui wengi sana nje na ndani na hapo kwenye picha kuna rafiki yake mkubwa sana Shaffih, eti naye ni mjumbe wa bodi!

Matumaini yamepungua sana nilipoona hii picha, wachezaji embu kwa leo na kesho kaeni mbali na hili jamaa, hata mkono msilipe kabisa. Argh, inatia hasira sana.

gundu.JPG
 
Mpira wahitaji waandishi. .
Shafih hajalipiwa, kaomba ruhusa ya Simba kaenda, bila hivyo usingemwona hapo
Ndicho ninacholalamika hicho,hayupo hapo kwa nia nzuri ila ana mtandao mkubwa sana wa wapiga deal ndani ya simba ambao lengo lao ni barbara atoke kwa kuifelisha simba,huyo ni attacking dog wao ,inaboa sana
 
Upo vzuri ndugu,,,pale Simba Kuna watu wanataka wamfelishe babra......starting from benchi la ufundi
 
Kaka angu njaakalihatari katika ubora wake
usichukulie kiutani hili suala embu fikiria leo jemedari said asafiri kwenda sudan awe close hivi na viongozi wa yanga.

Barbara anafelishwa ili tumchukie either awe dictator kweli au awacchie tu haya majitu yaendelee kupiga teni pasenti za usajili na kugawana mishahara na wachezaji kila mwisho wa mwezi.

Kanjanja lao kuu ni Dauda na hiyo picha INANUKA USALITI MKUBWA hata hao tunaodhani ni watu wa maana wa simba
 
Hatari sana lile kanjanja, hii inakuaje mtu kama huyo anaingia mpaka jikoni..

Mlamu hii kitu unatuangusha sana wana Msimbazi.
 
Upo vzuri ndugu,,,pale Simba Kuna watu wanataka wamfelishe babra......starting from benchi la ufundi
hiyo picha yenyewe INANUKA USALITI na wamemleta attacking dog wao karibu kabisa, kwa mwendo huu tusahau kuwafunga utopolo hadi barbara atakapoyakubalia haya majamaa ya teni pasenti kuendelea kufanya ufisadi wa usajili na kugawana mishahara na wachezaji kila mwisho wa mwezi
 
Hatari sana lile kanjanja, hii inakuaje mtu kama huyo anaingia mpaka jikoni..

Mlamu hii kitu unatuangusha sana wana Msimbazi.
unadhani ni kwanini tangu barbara aingie madarakani na kuanza kubana mianya utopolo wanakuwa na uhakika w a kutufunga? kitendo cha hili kanjanja kuwa hapo jikoni na ku discuss technics za simba heabu maumivu hata de agosto wakipanda dau linawauza simba maana lenyewe binafsi huwa lina chuki hadi na lipstick za Barbara(yes aliashawahi kutamka hivyo)
 
Shafii Dauda kila akisafiri na Simba SC popote pale lazima Simba ipoteze game,safari zote ambazo wanamjuisha kwenye msafara kama mwandishi wa habari kwenye game za Simba,lazima Simba ipoteze sisemi sioni kama anahujumu ila ana mkosi tu.
hakuna wandishi wengine? huyu kajilipia kaifata simba kwenda kuharibu apate pa kumu attack CEO na hapo kuna mtu wake wa karibu sana kwenye bodi yupo kwenye picha HII NI PICHA YA MAJONZI SANA
 
Ondoa imani zako za kipuuzi hapa. Anaharibu nini, kwani atawafunga miguu wachezaji? Kuwa na mashabiki wa aina yako ni bahati mbaya sana.
WACHA WEEE, NARUDIA TENA WACHA WEEEE, KAMA KUNA KITU HERSI SAID KAKIWEZA NDANI YA YANGA NI UJINGA KAMA HUU UNAOTETEA.

USIRUDIE TENA KUANDIKA UJINGA WAKO, LAITI UNGEJUA KWA NINI SIKU HIZI UTOPOLO WANA UHAKIKA WA KUTUFUNGA USINGEANDIKA UJINGA WAKO HUU
 
Back
Top Bottom