namjua vizuri sana tokaenzi hizo mwembamba anacheza ndondo za kukodiwa na nilikuwa namuona team ya mntaani kwetu mickocheni inaitwa mikovilla, najua hata alicheza simba ile mbovu ya 2001 ...zote hizo siyo sababu kwamba hana NIA OVU
Tena ndiyo hatari kabisa maana kwenye huu uzi nimesema hujuma ya kumuhujuma CEO nia ya watu wa ndani kabisaa na kwenye hiyo picha hapo wapo, sasa yeye ku serve kwenye kamati za usajili siyo hoja,YEYE NA WENZAKE WA TENI PASENTI NI WABAYA SANA KULIKO WATU WANAOITWA MASHABIKI HOYAHOYA MASHABIKI MAANDAZI