Shafih Dauda yuko Angola na Simba S.C, nimetokwa machozi

Shafih Dauda yuko Angola na Simba S.C, nimetokwa machozi

Shafii ni Simba uyo ata usiwe na waswas lunyasi kabisa uyo dam dam ndo maana hakuna mwenye waswas nae hapo,
Matatzo mwngne yote mi ya kimsalahi tu kawaida katka.maisha kutofautiana
Hiyo picha hapo juu niliyopost INANUKA HUJUMA, hata kuna watu wako serikalini lakini wanapambana kila siku kuhakikisha ina fail ili ichukiwe na wananchi sembuse hayo majitu ya teni pasenti?
 
Huyu
namjua vizuri sana tokaenzi hizo mwembamba anacheza ndondo za kukodiwa na nilikuwa namuona team ya mntaani kwetu mickocheni inaitwa mikovilla, najua hata alicheza simba ile mbovu ya 2001 ...zote hizo siyo sababu kwamba hana NIA OVU
Tena ndiyo hatari kabisa maana kwenye huu uzi nimesema hujuma ya kumuhujuma CEO nia ya watu wa ndani kabisaa na kwenye hiyo picha hapo wapo, sasa yeye ku serve kwenye kamati za usajili siyo hoja,YEYE NA WENZAKE WA TENI PASENTI NI WABAYA SANA KULIKO WATU WANAOITWA MASHABIKI HOYAHOYA MASHABIKI MAANDAZI
Sema ndugu yangu ukiona shafii anaongea huku nje kuhusu babra ujue hizo sauti zinatokea ndani,..Kuna watu especially kassim mshkaji wake Sana shafii huyu wanapartner kwenye Mambo yao ya ten percent na jezi fake (uhl supplier kit supplier wa zamani hii ni kampuni ya kassim),hawamtaki yule mama pale ..
Kwenye kuhujumu hapa Mimi naingia natoka sabbu all in all wote sisi ni Simba,
Na kuihujum kabsa timu unayoipenda ifungwe dah pagumu Sana hapo .
 
Hivi mtoa Uzi hauoni aibu baada ya hii mechi
 
Hivi mtoa Uzi hauoni aibu baada ya hii mechi
we ni mjinga kabisa, nione aibu aibu aone yeye ten akae mbali kabisa na team , nyuzi kama hizi zina msaada sana siyo majitu yanawaza 10 pasenti na kushea mishahara ya wachezaji kila mwisho wa mwezi
Vipi? huyo bichwa amepost matokeo kwa shamrashamra,?SIMBA TAFADHALI HILO JITU MSILIENDEKEZE KUWA NANYI KARIBU SAFARI BADO NDEFU
 
Sema mtoa uzi ni choko flani hv
sawa kabwili wa kabwilism, nyoka ndani ya simba tunawaponda vichwa tu siyo yeye tu wengine wako kwenye bodi kabisa dadeeki as long as wanafanya u kabwili wao tutaendelea kuwaumbua
 
we ni mjinga kabisa, nione aibu aibu aone yeye ten akae mbali kabisa na team , nyuzi kama hizi zina msaada sana siyo majitu yanawaza 10 pasenti na kushea mishahara ya wachezaji kila mwisho wa mwezi
Vipi? huyo bichwa amepost matokeo kwa shamrashamra,?SIMBA TAFADHALI HILO JITU MSILIENDEKEZE KUWA NANYI KARIBU SAFARI BADO NDEFU
Hatutaki shabiki tutusa kama wewe. Jitu limejaa imani za hovyo hovyo. Watu kama wewe ndio mnaleta chuki ktk michezo. Haya sasa, majibu umeyapata.
 
sawa kabwili wa kabwilism, nyoka ndani ya simba tunawaponda vichwa tu siyo yeye tu wengine wako kwenye bodi kabisa dadeeki as long as wanafanya u kabwili wao tutaendelea kuwaumbua
Choko Sana ww acha chuki za kishamba, Mgunda anawashukuru wapenzi wa mpira wote kwa support Yao pamoja na kina Shaffi linatokea dubwasha flani hiv lenye chuki binafsi sijui liligongewa mke linaleta ushamba flani hv https://jamii.app/JFUserGuide u nigga
 
Hatutaki shabiki tutusa kama wewe. Jitu limejaa imani za hovyo hovyo. Watu kama wewe ndio mnaleta chuki ktk michezo. Haya sasa, majibu umeyapata.
Bichwa shaffih dauda na nyoka wote wanaomfanyia figusu barbara gonzalez tuta deal nao properly
Na nyie chawa wa wauza jezi feki na wa ten pasenti tegemeeni mashambulizi non stop
Njaakalihatari alichoandika wengi wanaunga mkono siyo machawa
 
Choko Sana ww acha chuki za kishamba, Mgunda anawashukuru wapenzi wa mpira wote kwa support Yao pamoja na kina Shaffi linatokea dubwasha flani hiv lenye chuki binafsi sijui liligongewa mke linaleta ushamba flani hv JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala u nigga
Sasa huoni bichwa shaffuh d auda ndo dubwana lijinga hapo?
Huyo si ndo alisambaza fake news kwamba mgunda hana cheti? Aliomba msamaha?
Unadhani mgunda hajui kwamba huyo ni attacking dog wa wazee wa teni pasenti? Gerrrrar here fool
Mnashambulia mtoa mada bila kujitambua
 
Sasa huoni bichwa shaffuh d auda ndo dubwana lijinga hapo?
Huyo si ndo alisambaza fake news kwamba mgunda hana cheti? Aliomba msamaha?
Unadhani mgunda hajui kwamba huyo ni attacking dog wa wazee wa teni pasenti? Gerrrrar here fool
Mnashambulia mtoa mada bila kujitambua
Tatizo lenu la kupenda timu kupita kiasi ndio huku, hakuna kitu Kisichikosolea kamwe, mwandishi akikosea taasisi tayari mnamuona mbaya wakati wanaiendesha taasisi nao ni binadamu, tuache umbea wa kidada afu kaeni mkijua chuki kwa shafii hazitawasidia kamwe
 
Back
Top Bottom