Shafii Dauda alimvuruga Singano na sasa kahamia kwa Zimbwe, mwacheni aende Yanga

Shafii Dauda alimvuruga Singano na sasa kahamia kwa Zimbwe, mwacheni aende Yanga

Kwan yeye shaffih anasemaje!?
anazidi kuchochea moto ingia instagram kaweka na meneno ya edo kumwembe wanalazimisha simba impe millions 100 wakidai ni kijana wa manzese mbona wageni wanapewa
cha kushangaza huko yanga millions 100 ipo na atapata nafasi ya kuitwa kwa tajiri kupiga picha kama anacyotaka meneja wake, ni vyema aende yanga hata kule pia atakuwa ni mzawa
 
Kwani mlipaji na mwenye team yake anasemaje? Maana naona humu mpaka watu wanatukanana..
 
Back
Top Bottom