Shafii Dauda anafaa kuadhibiwa kwa uchochezi

Mkude alimdondosha mwamuzi kwa kumpuga mtama, then mwamuzi aliposimama akamlima red card, baada ya siku tatu kamati ya 'wahuni' inakaa na kuifuta red card na kumpa kalipio mwaluzi, tena bila hata kusoma report ya mechi ile......
Na bado mkileta fyongo kamati zetu za wahuni tutazidi kuwahunisha zaidi
 
Mahaba yakizidi yanatoa ufahamu wewe uliona video ambayo pengine imeeditiwa tuliokuwa uwanjani tuliona Mkude akimsukuma mwamuzi tena sio mara moja na ndiyo maana mashabiki wengi wlioona tukio wanamlaumu Mkude kuwa ni Yanga na alifanya vile ili apewe kadi nyekundu.
 
khaaa....wamekulazimisha wewe kuchanga?
 
mkude hakumsukuma mwamuzi ...alijikwaa...kama unasema video ime editiwa hebu wewe leta ambayo haijaeditiwa
 
Ukweli mtupu.Anayebisha ni ......
 
Kwani kati ya wachambuzi wa michezo shafii naye yupo.

Shaffii ni mchambuzi wa Udaku na umbea. Si alikosa kazi tff afu yy ni shabiki wa Yanga.

Ndio maana huwa sisikilizi cloids media maisha yangu yote. Coz hawanaga habari.
 
Hebu tuvue viatu vya uSimba ama UYanga na baadaye tuvae vya mwamuzi Saaya. Umezungukwa na wachezaji wenye hasira huku wakikusukimasukuma. Mmoja aliye nyuma yako anajikwaa kwa mwenzake na katika kupepesuka kwake akakuangusha bila ya yeye kuanguka. Hayo yote yanatokea ndani ya sekunde chache. Akili yako itafikiriaje kama si kwamba amekuangusha kwa makusudi? Na kwa maamuzi hayo atakuwa amekosea? Kamati ilipaswa kuangalia mazingira ya mwamuzi kutoa kadi ile. Kamati iliangalia video kwanza kabla ya kuamua kwa sababu walikuwa na muda wa kufanya hivyo. Ingekuwa sahihi Kamati kuifuta kadi hiyo kama na mwamuzi naye alikuwa na muda wa kuangalia video ndipo atoe hukumu!
 
Hahaha mkuu Tanzania hatuna mpira tuna Kabumbu.
 
Huyu jamaa ni waajabu sana sana, anajifanya anajua sana mambo ya soka wakati hajui kitu, hata uongozi wa tff asidhani ni kiki ya kuupata
 
Mkude alimdondosha mwamuzi kwa kumpuga mtama, then mwamuzi aliposimama akamlima red card, baada ya siku tatu kamati ya 'wahuni' inakaa na kuifuta red card na kumpa kalipio mwaluzi, tena bila hata kusoma report ya mechi ile......

Ajib naye anafunga goli zuri lakini ghafla kundi la wahuni wawili wanalikataa na kusema mfungaji aliotea.....
Nayo kamati ya wahuni inakaa bila kusema chochote kuhusu hilo hata bila ya kusoma ripoti ya mechi ile...
 
Nilidhani hushughuliki tena na VPL, na kwamba hizo habari za Julio umeziona huko kwenye Ligi unayoishughulikia ambayo ndio sijui kama ni EPL au La Liga mkuu!
Ha ha ha ha mkuu habari za Julio si nilisikia kwenye taarifa kama habari zingine!!?? Ila we umefanya uchochezi milioni saba itakuhusu
 
comment nzuri sana [emoji122] [emoji122]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…