Shafii dauda (kanjanja) iposti hirizi ya kagere (kikongwe)

Yanga tushawazoea kwa majungu, ndio maana Manara juzi aliwapa makavu. Mara Simba imenunua mechi, mara hirizi, mara penati ya kupewa..... Mjue tu kuwa uwezo wenu ni mdogo ukilinga na Simba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtasema yote mwaka huu chezea Simba nyie mnaingia na matokeo ya kuifunga Simba mkishindwa mara Refa,mara Hirizi mtasema yote Vyura nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi tukiwa wa kweli mechi ya jana mashabiki wale kindakindaki, ni wa timu ipi ambao walikuwa wanajua kuwa leo timu yao inashinda? Obvious,ni wa simba!! Na kwa matokeo hayo ni kama yanga kashinda
 
Mshana Jr njoo huku utoe uthibitisho wa ile hirizi ilikuwa ya kitanzania au kinigeria,kuna watu wanataka wavamie fani yako wakidai ile ni rozari.
 
Mkuu achana na vitoto vyilivyozaliwa 2000's unapoteza muda tu,ni vimbumbumbu sana
 
A Acha jazba Ukipost wewe inatosha
 
Hahaha inauma nini sasa, hongereni kwa kua mabingwa mwaka huu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani waandishi wa yanga hawana picha au clip wapost
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…