Shafii dauda (kanjanja) iposti hirizi ya kagere (kikongwe)

Shafii dauda (kanjanja) iposti hirizi ya kagere (kikongwe)

Nchi hii imejaa waandishi wa habari na watangazaji uchwara sana wakiongozwa na huyu shafii pamoja na osca osca yaani vichwani watupu kabisa, unaweza ukajiuliza hawa jamaa wanauwezo gani wa kufikiri. wamekua watu wa chuki dhidi ya yanga za wazi wazi kabisa. najua huko uliko umenuna ila posti ile hirirzi ya kagere basi
Kweli we wa MBAGALA....unajambajamba tu kwenye tope hueleweki wala hujielew

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi hii imejaa waandishi wa habari na watangazaji uchwara sana wakiongozwa na huyu shafii pamoja na osca osca yaani vichwani watupu kabisa, unaweza ukajiuliza hawa jamaa wanauwezo gani wa kufikiri. wamekua watu wa chuki dhidi ya yanga za wazi wazi kabisa. najua huko uliko umenuna ila posti ile hirirzi ya kagere basi
ALIPOSEMA SIMBA UNDERDOG MLIFURAHIA TULIENI SINDANO IINGIE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi hii imejaa waandishi wa habari na watangazaji uchwara sana wakiongozwa na huyu shafii pamoja na osca osca yaani vichwani watupu kabisa, unaweza ukajiuliza hawa jamaa wanauwezo gani wa kufikiri. wamekua watu wa chuki dhidi ya yanga za wazi wazi kabisa. najua huko uliko umenuna ila posti ile hirirzi ya kagere basi
Mpigie simu umueleze
 
Kweli we wa MBAGALA....unajambajamba tu kwenye tope hueleweki wala hujielew

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi kwasababu muungwana nakusamehe. kichwani kwako mtupu kabisa na hii inatokana na ugali wa bure unaokula hapo kwa shemeji yako nakushauri hama hapo kwa shemeji yako unapokaa after one week akili yako atleast itafaa kujadili jambo kwenye hadhara
 
Mkuu mimi kwasababu muungwana nakusamehe. kichwani kwako mtupu kabisa na hii inatokana na ugali wa bure unaokula hapo kwa shemeji yako nakushauri hama hapo kwa shemeji yako unapokaa after one week akili yako atleast itafaa kujadili jambo kwenye hadhara
Sawa msela Wa mbagala kwa tabu ya usafiri Wa kwenu namna mnavyojazana na kujambiana sishangai kuwa na akili hizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom