Inasikitisha....timu haishambuliiAngepewa gamondi wiki 2 kabla ya hii mechi angeshinda au sana sana droo.
Huyu kocha wa Stars sasahivi Ana bahatisha na sijui wamemtoa wapi , Ila Jana ameumbuka toka amekuja hajui first eleven yake .
Hata kama alipangiwa kikosi kikubwa bora timu imefungwa maana ingingeshinda tu wanasiasa wangeanza kuibuka na kusema; Haya ni mafanikio ya SISIEMU.Hii list ya Jana ya wachezaji ... kocha alipangiwa na nani?
Yaani unaacha mastaa wako nje?"[emoji47][emoji47]..... Shafii
Msuva sub
Samata sub
Job sub ....kukamilisha ukuta wa yericko
Feitoto.....nje
Mudathiri .....sub
Kibu ......ndani
Hata kama mpira una maajabu ....but haiwezi kuwa kirahisi hiviView attachment 2821324
Imethibitika jamaa kuwa yeye shaffih hajui kituHii list ya Jana ya wachezaji ... kocha alipangiwa na nani?
Yaani unaacha mastaa wako nje?"[emoji47][emoji47]..... Shafii
Msuva sub
Samata sub
Job sub ....kukamilisha ukuta wa yericko
Feitoto.....nje
Mudathiri .....sub
Kibu ......ndani
Hata kama mpira una maajabu ....but haiwezi kuwa kirahisi hiviView attachment 2821324
Mlitegemea kuwafunga moroko na kina samata??kabisa mkuu ..analeta the bishoo
Sawa ila je kafanikiwa au laa?Ana hoja asikilizwe
Kocha anajaribu wachezaji kwenye mechi kubwa ile
Angalieni mpira kwa jicho la tatu pia...Bora tungekufa kiume mkuu...
Hakuna hata kiwanja kimoja kilichojengwa na ccm[emoji23][emoji23]lkn usisahau kuwa sisiemu ndo wanaojenga viwanja
Fasi ya TundumaMutu ya Congo. Unaandika ukiwa wapi?
Sawa sawa tuko pamojaJana timu iliyoanza ndio timu Bora tatizo tulicheza na timu iliyotuzidi ujanja tu
Sent from my TECNO BF7 using JamiiForums mobile app
Sawa. Mambo byeeFasi ya Tunduma