Hatugombani
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 1,142
- 805
Mpira haukuwa upande wetu.Kwann hatujawafunga Morocco...kama kufungwa ni sehemu ya mchezo
Ile formula ya kukaba mwanzo mwisho inatakiwa umeshapata matokeo sio unatafuta yaani 10 man behind the ball 90 minute it's nonsense sense press retains the ball and relaxAlifanya majaribio ya wachezaji
Tanzania tume inaundwa mbele ya hadra lakini majibu ya tume yanabaki kwa aliteunda tumeTUUUNDE TUME KUCHUNGUZA WALIOPANGA LIST YA JANA
SIJUI NA TAKU...WANATUSAIDIAJE ANYWAY///
YANGU BADO UCHUNGUZI UNAENDELEA
NIKOPALE KWA MASAWEEE..
KWA ZAMBIAA HIII LOH