Nimemsikiliza Sports Extra mara nyingi analopoka tu bila ya ushahidi
Leo kwenye kipindi anasema mechi za Azam kati ya Simba na Yanga zinachezewa Uwanja wa Taifa badala ya Chamazi anashindwa kujua kuwa Uwanja wa Chamazi uwezo wake ni watu 7000 wakati mechi za Simba na Yanga zina mashabiki wengi inajulikana.
Kwa hiyo uwanja wa Chamazi hauwezi kutosheleza kwa Simba na Yanga.
Leo kwenye kipindi anasema mechi za Azam kati ya Simba na Yanga zinachezewa Uwanja wa Taifa badala ya Chamazi anashindwa kujua kuwa Uwanja wa Chamazi uwezo wake ni watu 7000 wakati mechi za Simba na Yanga zina mashabiki wengi inajulikana.
Kwa hiyo uwanja wa Chamazi hauwezi kutosheleza kwa Simba na Yanga.