Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
SHAFFIH DAUDA:SITOSHANGAA YANGA MSIMU UJAO WAKAALIKWA ULAYA.
"Nimefuatilia PreSeason ya Yanga kwa maana maandalizi yao ya msimu mpya wakiwa hapa nyumbani na baadae kwenda Afrika Kusini kwa mualiko maalumuna hivi vitu haviji tu ni lazima kuna mbegu unakuwa umeipanda baada ya muda ndio unaona shina na matunda yake , Yanga wamefanikiwa kwenye hilo hasa matokeo ya jumla ya mechi zao"
"Hii imefanya wauze sana na sitoshangaa kama msimu ujao watapata mialiko mingi zaidi" SHAFFIH DAUDA
NB wakati wengine wakihangaika na timu za daraja la 4[emoji23][emoji23]
"Nimefuatilia PreSeason ya Yanga kwa maana maandalizi yao ya msimu mpya wakiwa hapa nyumbani na baadae kwenda Afrika Kusini kwa mualiko maalumuna hivi vitu haviji tu ni lazima kuna mbegu unakuwa umeipanda baada ya muda ndio unaona shina na matunda yake , Yanga wamefanikiwa kwenye hilo hasa matokeo ya jumla ya mechi zao"
"Hii imefanya wauze sana na sitoshangaa kama msimu ujao watapata mialiko mingi zaidi" SHAFFIH DAUDA
NB wakati wengine wakihangaika na timu za daraja la 4[emoji23][emoji23]