NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #41
Gemu ya dynamoo unaweza kufananisha na kaizer chief??Kaizer Chiefs walileta kashkash gani langoni? Au unadhani hatukuangalia mlipocheza nao?
Soma vizuri maandiko siyo unakurupuka kujibu.Mbona hii hakuna alipoisema?
Tena ulale nae kabisaNinabaki na Shaffih Dauda ktk hilo
Kwa hiyo hautaki?🙏😂😂😂😂😂"Yanga SC, imesajili wachezaji wengi sana ila ni waviwango vya chini sana na bei poa tofauti na Simba SC, ambayo pengine imetumia pesa mara Tatu zaidi ya pesa ambazo Yanga wametumia.
"Yanga Inaweza kuwa bora ikiwa hawa wachezaji watatokea wachezaji bora na majina kuwa makubwa ila hadi sasa wako kawaida sana ni 50% kufanya poa wakati huo Simba yenye mastaa kubao pia Inaweza fanya vibaya ila Simba SC, ni 90% kufanya vizuri kulinga na uwekezaji wao wa pesa nyingi kuliko klabo yeyote Tanzania na Africa Mashariki.
Na ukinipinga kuhusu usajili wa Simba SC kuwa ndio sajili ya pesa nyingi kuliko klabu yeyote kanda hii wewe hujui mpira" - Shaffh Dauda
Maoni yangu: unapozungumza/kutoa maoni yako bila fact ni sawa na kufurahisha genge la wanywa pombe au kahawa tu.
Kusema kuwa Simba SC wametumia pesa nyingi kuliko Yanga SC katika usajili ilikupasa kuweka evidence ya mikataba ya wachezaji ili tuwe sawa lakini kutoa maneno matupu hauna tofauti na mshehereshaji katika vilinge vya kahawa.
Kuzungumza kwamba wachezaji wa Yanga SC uwezo wao ni wa kawaida he umewapima kwa kipi?
Na kusema kuwa wachezaji wa Simba SC wanauwezo mkubwa kwa asilimia 90% umeangalia kwa lipi?
Hupaswi kuzungumza tu ulipaswa kuchambua kila engo na kutofautisha huo ubora unaousema lakini tofauti na kufanya hivyo ni Bora unge kaa kimya tu kuliko kulazimisha watu/mashabiki wakubaliane na wewe.
NALIA NGWENA nakujibu na ninakuambia kuwa wewe ndiyo hujui mpira na tukitoa wachambuzi Bora kumi katika hii nchi wewe haumo kabisa.
Kipindi kile ulikua unasoma habari za huko unakuja kuwasimulia kwenye redio watu wanakuona unajua sana lakini hivi Sasa mambo yapo wazi sana huwezi kumdanganya mtu.
NAUNGA MKONO HOJA [emoji91]UKWELI utajulikana UWANJAN
Endelea kumuunga mkono huyo kibwengo wako.Kwa hiyo hautaki?[emoji120][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huna hoja kaa kimya.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkiambiwa ukweli mnahaha,kama malaya kaona pochi limevimba mijihela
Utopolo acheni wivu. shida yenu wenye akili ni wawili tu huko kwenu utopoloni."Yanga SC, imesajili wachezaji wengi sana ila ni waviwango vya chini sana na bei poa tofauti na Simba SC, ambayo pengine imetumia pesa mara Tatu zaidi ya pesa ambazo Yanga wametumia.
"Yanga Inaweza kuwa bora ikiwa hawa wachezaji watatokea wachezaji bora na majina kuwa makubwa ila hadi sasa wako kawaida sana ni 50% kufanya poa wakati huo Simba yenye mastaa kubao pia Inaweza fanya vibaya ila Simba SC, ni 90% kufanya vizuri kulinga na uwekezaji wao wa pesa nyingi kuliko klabo yeyote Tanzania na Africa Mashariki.
Na ukinipinga kuhusu usajili wa Simba SC kuwa ndio sajili ya pesa nyingi kuliko klabu yeyote kanda hii wewe hujui mpira" - Shaffh Dauda
Maoni yangu: unapozungumza/kutoa maoni yako bila fact ni sawa na kufurahisha genge la wanywa pombe au kahawa tu.
Kusema kuwa Simba SC wametumia pesa nyingi kuliko Yanga SC katika usajili ilikupasa kuweka evidence ya mikataba ya wachezaji ili tuwe sawa lakini kutoa maneno matupu hauna tofauti na mshehereshaji katika vilinge vya kahawa.
Kuzungumza kwamba wachezaji wa Yanga SC uwezo wao ni wa kawaida he umewapima kwa kipi?
Na kusema kuwa wachezaji wa Simba SC wanauwezo mkubwa kwa asilimia 90% umeangalia kwa lipi?
Hupaswi kuzungumza tu ulipaswa kuchambua kila engo na kutofautisha huo ubora unaousema lakini tofauti na kufanya hivyo ni Bora unge kaa kimya tu kuliko kulazimisha watu/mashabiki wakubaliane na wewe.
NALIA NGWENA nakujibu na ninakuambia kuwa wewe ndiyo hujui mpira na tukitoa wachambuzi Bora kumi katika hii nchi wewe haumo kabisa.
Kipindi kile ulikua unasoma habari za huko unakuja kuwasimulia kwenye redio watu wanakuona unajua sana lakini hivi Sasa mambo yapo wazi sana huwezi kumdanganya mtu.
vipi yao yao,nzengeli ni wachezaji wa bei ndogo?"Yanga SC, imesajili wachezaji wengi sana ila ni waviwango vya chini sana na bei poa tofauti na Simba SC, ambayo pengine imetumia pesa mara Tatu zaidi ya pesa ambazo Yanga wametumia.
"Yanga Inaweza kuwa bora ikiwa hawa wachezaji watatokea wachezaji bora na majina kuwa makubwa ila hadi sasa wako kawaida sana ni 50% kufanya poa wakati huo Simba yenye mastaa kubao pia Inaweza fanya vibaya ila Simba SC, ni 90% kufanya vizuri kulinga na uwekezaji wao wa pesa nyingi kuliko klabo yeyote Tanzania na Africa Mashariki.
Na ukinipinga kuhusu usajili wa Simba SC kuwa ndio sajili ya pesa nyingi kuliko klabu yeyote kanda hii wewe hujui mpira" - Shaffh Dauda
Maoni yangu: unapozungumza/kutoa maoni yako bila fact ni sawa na kufurahisha genge la wanywa pombe au kahawa tu.
Kusema kuwa Simba SC wametumia pesa nyingi kuliko Yanga SC katika usajili ilikupasa kuweka evidence ya mikataba ya wachezaji ili tuwe sawa lakini kutoa maneno matupu hauna tofauti na mshehereshaji katika vilinge vya kahawa.
Kuzungumza kwamba wachezaji wa Yanga SC uwezo wao ni wa kawaida he umewapima kwa kipi?
Na kusema kuwa wachezaji wa Simba SC wanauwezo mkubwa kwa asilimia 90% umeangalia kwa lipi?
Hupaswi kuzungumza tu ulipaswa kuchambua kila engo na kutofautisha huo ubora unaousema lakini tofauti na kufanya hivyo ni Bora unge kaa kimya tu kuliko kulazimisha watu/mashabiki wakubaliane na wewe.
NALIA NGWENA nakujibu na ninakuambia kuwa wewe ndiyo hujui mpira na tukitoa wachambuzi Bora kumi katika hii nchi wewe haumo kabisa.
Kipindi kile ulikua unasoma habari za huko unakuja kuwasimulia kwenye redio watu wanakuona unajua sana lakini hivi Sasa mambo yapo wazi sana huwezi kumdanganya mtu.
NAUNGA MKONO HOJA.Wachambuzi wanaoleweka Tanzania ni Ramadhani mbwaduke, liki abdala , godlisen muro , Ali mayay, sekilojo Chambua na amri kiemba
Hao wengine wapo kiushabiki zaidi kuliko uhalisia
Simba Ina wachezaji gani wa kuchukua kombe au kufika fainali ya klabu bingwa.??Kwa mpira waliocheza azam na yanga jana bado kuna shida kwenye te zote mbili niwakumbushe tu zalan safari hii haipo Caf champions league .
Simba imekujaje tena mkuu.Simba Ina wachezaji gani wa kuchukua kombe au kufika fainali ya klabu bingwa.??
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwani uliuliza NiniSimba imekujaje tena mkuu.