Shagiguku
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 409
- 138
bingwa wa dance hall shaggy aliwashangaza watu pale villa resort (maarufu kama villa park) mwanza juzi jumamosi alipowasifia samaki aina ya sato kuwa ni watamu na kuwafananisha na wasichana wa tanzania kuwa ni wakalimu. shaggy alikuwa akipata viburudisho kabla ya kuelekea annex hotel (zamani ikiitwa kitwima hotel iliyopo kirumba ) kwenda kumalizia starehe zake....