Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
Wadau wa sheria nchini, nadhani hii concept ya Law School watu bado hawajaelewa au ni kukurupuka.
Siku hizi naskia mtu mwenye digrii ya sheria akienda kuomba tempo ya kufundisha sekondari eti anambiwa athibitishe kama amepitia law school na amekuwa admitted kama advocate. hii law school haijaeleweka kabisa.
Kwanini nauliza kama hii shahada imefutwa au la?
Nimeona kazi zimetangazwa, ila kazi ambayo anaweza kufanya mtu wa Sociology au Digrii nyingine, ila wa Sheria anaambiwa awe amepitia Law School, inamaana digrii ya sheria haijakamilika ama?
Hizi hapa chini ni mfano wa kazi ambazo mwenye LL.B hana vigezo ila mtu wa course ya Sociology au Public Administration anaweza pata
6.0 THE COMMISSION FOR MEDIATION AND ARBITRATION
(CMA)
The Commission for Mediation and Arbitration (CMA) is an independent Government
Institution, established under Section 12 of the Labor Institutions Act No. 7 of 2004 (LIA No. 7 of 2004).
6.1 MEDIATOR II - 28 POSTS – RE- ADVERTISED
6.1.1 QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE
· Bachelor Degree in Law, with accomplishment of internship or law school of Tanzania. Or
· Holders of Bachelor Degree in Economics, Social Sciences (Sociology, Human
Resources and Public Administration) or Advance Diploma in Labor Studies, with Post Graduate Diploma in Law Mediation and Arbitration from a recognized Academic Institution.
· Exposure to labor relations and dispute resolution will be an added advantage.
· Should have good discipline, healthy and ready to work anywhere in Tanzania
Mainland.
6.2 ARBITRATOR II - 26 POSTS - RE- ADVERTISED
6.2.1 QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE
· Bachelor Degree in Law, with accomplishment of internship or law school of Tanzania. Or
· Holders of Bachelor Degree in Economics, Social Sciences (Sociology, Human
Resources and Public Administration) or Advanced Diploma in Labor Studies, with Post Graduate Diploma in Law Mediation and Arbitration from a recognizedAcademic Institution.
· Exposure to labor relations and dispute resolution will be an added advantage.
· Should have good discipline, healthy and ready to work anywhere in Tanzania Mainland.
Siku hizi naskia mtu mwenye digrii ya sheria akienda kuomba tempo ya kufundisha sekondari eti anambiwa athibitishe kama amepitia law school na amekuwa admitted kama advocate. hii law school haijaeleweka kabisa.
Kwanini nauliza kama hii shahada imefutwa au la?
Nimeona kazi zimetangazwa, ila kazi ambayo anaweza kufanya mtu wa Sociology au Digrii nyingine, ila wa Sheria anaambiwa awe amepitia Law School, inamaana digrii ya sheria haijakamilika ama?
Hizi hapa chini ni mfano wa kazi ambazo mwenye LL.B hana vigezo ila mtu wa course ya Sociology au Public Administration anaweza pata
6.0 THE COMMISSION FOR MEDIATION AND ARBITRATION
(CMA)
The Commission for Mediation and Arbitration (CMA) is an independent Government
Institution, established under Section 12 of the Labor Institutions Act No. 7 of 2004 (LIA No. 7 of 2004).
6.1 MEDIATOR II - 28 POSTS – RE- ADVERTISED
6.1.1 QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE
· Bachelor Degree in Law, with accomplishment of internship or law school of Tanzania. Or
· Holders of Bachelor Degree in Economics, Social Sciences (Sociology, Human
Resources and Public Administration) or Advance Diploma in Labor Studies, with Post Graduate Diploma in Law Mediation and Arbitration from a recognized Academic Institution.
· Exposure to labor relations and dispute resolution will be an added advantage.
· Should have good discipline, healthy and ready to work anywhere in Tanzania
Mainland.
6.2 ARBITRATOR II - 26 POSTS - RE- ADVERTISED
6.2.1 QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE
· Bachelor Degree in Law, with accomplishment of internship or law school of Tanzania. Or
· Holders of Bachelor Degree in Economics, Social Sciences (Sociology, Human
Resources and Public Administration) or Advanced Diploma in Labor Studies, with Post Graduate Diploma in Law Mediation and Arbitration from a recognizedAcademic Institution.
· Exposure to labor relations and dispute resolution will be an added advantage.
· Should have good discipline, healthy and ready to work anywhere in Tanzania Mainland.