Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angempoint mshtakiwa jaji huyo huyo angeupokea ushahidi wa huyo mtotoJaji akamuuliza maswali ambayo yakaonesha kuwa moto huyo hana ufahamu wa kutosha.
Angempointi mdau kizimbani, huyo mdau angepata hiyo nafasi?
Mtoto kituko, Jaji kituko, Sheria kichefuchefu. Moito wa miaka 9 unamuapisha nini ikiwa Mkataba tu hapaswi kuuingiaKatika hali isiyotarajiwa, shahidi wa tatu kwenye kesi inayomkabili Zephania Ndalawa anayeshtakiwa kwa kosa la kuua kwa kukusudia, amemtambua Jaji Graffin Mwakapeje kama mtuhumiwa wa mauaji ya Thomas Masumbuko.
Shahidi huyo, Salome Cheyo (9) akiongozwa na Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Musa Mlawa alipotakiwa kwenda kumuonyesha mtuhumiwa kama anamkumbuka, alitoka kizimbani na kwenda hadi alipo jaji na kumuonyesha kuwa ndiye.
Hata aliposhuka kutoka alipo jaji na kurudi kizimbani na Wakili Mlawa kumuuliza tena kuhusu mtu mweupe aliyemfukuza siku ya tukio, mtoto huyo aliendelea kusisitiza ni jaji anayeendesha kesi hiyo, jambo lililozua vicheko mahakamani hapo.
Shahidi huyo ambaye ni mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Burigi, alikuwa anatoa ushaidi wa tukio la mauji ya Thomas Masumbuko (12), jana Alhamisi Julai 3, 2024.
Masumbuko aliuawa kwa kufungwa kamba mguuni, mikono na kusokomezwa matambara mdomoni, hivyo kukosa hewa na kufariki dunia, huku akiwa amefunikwa kitambaa usoni.
Shahidi huyo akiwa kizimbani, Jaji alimhoji maswali ya ufahamu ili aweze kuapishwa, ikiwa ni pamoja na kumuuliza majina, dini na kama anajua nini maana ya dhambi au ukweli, maswali ambayo alishindwa kuyajibu kwa ufasaha.
Kutokana na kushindwa kujieleza, nini maana ya uongo au ukweli, Mahakama iliridhia shahidi huyo achukuliwe ushahidi wake bila kiapo.
Mwananchi
katakuwa katoto ka generation zKatika hali isiyotarajiwa, shahidi wa tatu kwenye kesi inayomkabili Zephania Ndalawa anayeshtakiwa kwa kosa la kuua kwa kukusudia, amemtambua Jaji Graffin Mwakapeje kama mtuhumiwa wa mauaji ya Thomas Masumbuko.
Shahidi huyo, Salome Cheyo (9) akiongozwa na Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Musa Mlawa alipotakiwa kwenda kumuonyesha mtuhumiwa kama anamkumbuka, alitoka kizimbani na kwenda hadi alipo jaji na kumuonyesha kuwa ndiye.
Hata aliposhuka kutoka alipo jaji na kurudi kizimbani na Wakili Mlawa kumuuliza tena kuhusu mtu mweupe aliyemfukuza siku ya tukio, mtoto huyo aliendelea kusisitiza ni jaji anayeendesha kesi hiyo, jambo lililozua vicheko mahakamani hapo.
Shahidi huyo ambaye ni mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Burigi, alikuwa anatoa ushaidi wa tukio la mauji ya Thomas Masumbuko (12), jana Alhamisi Julai 3, 2024.
Masumbuko aliuawa kwa kufungwa kamba mguuni, mikono na kusokomezwa matambara mdomoni, hivyo kukosa hewa na kufariki dunia, huku akiwa amefunikwa kitambaa usoni.
Shahidi huyo akiwa kizimbani, Jaji alimhoji maswali ya ufahamu ili aweze kuapishwa, ikiwa ni pamoja na kumuuliza majina, dini na kama anajua nini maana ya dhambi au ukweli, maswali ambayo alishindwa kuyajibu kwa ufasaha.
Kutokana na kushindwa kujieleza, nini maana ya uongo au ukweli, Mahakama iliridhia shahidi huyo achukuliwe ushahidi wake bila kiapo.
Mwananchi
Kaka una undugu na Bambo?Mtoto kitiko, Jaji kitiko, Sheria kichefuchefu. Mtito wa miaka 9 unamuapisha nini ikiwa Mkataba tu hapaswi kuuingia
Chanzo ni sisi wazazi waoWatoto wa sikuizi nao ni waongo kweli sio wa kuwaamini ,. sio malaika tena
Katika vitu huwa vinaheshikika ni ushahidi wa mtoto. Hawezi kidanganya, ni nadra sana kusimgiziaHuyo jaji atakuwa anahusika, wamchunguze vizuri
Yule mtoto wako wa kiume ni mwongo mlaghai Sana 😃😃😃😃😃Watoto wa sikuizi nao ni waongo kweli sio wa kuwaamini ,. sio malaika tena
😂😂😂Yule mtoto wako wa kiume ni mwongo mlaghai Sana 😃😃😃😃😃
Hivi miaka 9 ni mtoto embu acha zako Mimi nikiwa na miaka 9 nilikua na akili timamu kabisa na mbususu nachakata Sasa huyo miaka 9 Gani mpaka asiseme uongo hapo anataka kuvuruga kesiKatika vitu huwa vinaheshikika ni ushahidi wa mtoto. Hawezi kidanganya, ni nadra sana kusimgizia
Mtoto hasemi uongo, huyo jaji anahusika kabisa. Na mtoto hasahau sura.