Shahidi amtambua Jaji kama mtuhumiwa wa mauaji

Shahidi amtambua Jaji kama mtuhumiwa wa mauaji

Mahakimu na Majaji wameutumia ushahidi wa watoto kama huyo kuwaangamiza washtakiwa kwenye kesi mbalimbali hasa za kubaka, hivyo ushahidi wa huyo mtoto uzingatiwe.
Jeshi la polisi lifanye uchunguzi
 
Jaji akamuuliza maswali ambayo yakaonesha kuwa moto huyo hana ufahamu wa kutosha.

Angempointi mdau kizimbani, huyo mdau angepata hiyo nafasi?
Angempoint mshtakiwa jaji huyo huyo angeupokea ushahidi wa huyo mtoto
 
Katika hali isiyotarajiwa, shahidi wa tatu kwenye kesi inayomkabili Zephania Ndalawa anayeshtakiwa kwa kosa la kuua kwa kukusudia, amemtambua Jaji Graffin Mwakapeje kama mtuhumiwa wa mauaji ya Thomas Masumbuko.

Shahidi huyo, Salome Cheyo (9) akiongozwa na Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Musa Mlawa alipotakiwa kwenda kumuonyesha mtuhumiwa kama anamkumbuka, alitoka kizimbani na kwenda hadi alipo jaji na kumuonyesha kuwa ndiye.

Hata aliposhuka kutoka alipo jaji na kurudi kizimbani na Wakili Mlawa kumuuliza tena kuhusu mtu mweupe aliyemfukuza siku ya tukio, mtoto huyo aliendelea kusisitiza ni jaji anayeendesha kesi hiyo, jambo lililozua vicheko mahakamani hapo.

Shahidi huyo ambaye ni mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Burigi, alikuwa anatoa ushaidi wa tukio la mauji ya Thomas Masumbuko (12), jana Alhamisi Julai 3, 2024.

Masumbuko aliuawa kwa kufungwa kamba mguuni, mikono na kusokomezwa matambara mdomoni, hivyo kukosa hewa na kufariki dunia, huku akiwa amefunikwa kitambaa usoni.

Shahidi huyo akiwa kizimbani, Jaji alimhoji maswali ya ufahamu ili aweze kuapishwa, ikiwa ni pamoja na kumuuliza majina, dini na kama anajua nini maana ya dhambi au ukweli, maswali ambayo alishindwa kuyajibu kwa ufasaha.

Kutokana na kushindwa kujieleza, nini maana ya uongo au ukweli, Mahakama iliridhia shahidi huyo achukuliwe ushahidi wake bila kiapo.

Mwananchi
Mtoto kituko, Jaji kituko, Sheria kichefuchefu. Moito wa miaka 9 unamuapisha nini ikiwa Mkataba tu hapaswi kuuingia
 
Katika hali isiyotarajiwa, shahidi wa tatu kwenye kesi inayomkabili Zephania Ndalawa anayeshtakiwa kwa kosa la kuua kwa kukusudia, amemtambua Jaji Graffin Mwakapeje kama mtuhumiwa wa mauaji ya Thomas Masumbuko.

Shahidi huyo, Salome Cheyo (9) akiongozwa na Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Musa Mlawa alipotakiwa kwenda kumuonyesha mtuhumiwa kama anamkumbuka, alitoka kizimbani na kwenda hadi alipo jaji na kumuonyesha kuwa ndiye.

Hata aliposhuka kutoka alipo jaji na kurudi kizimbani na Wakili Mlawa kumuuliza tena kuhusu mtu mweupe aliyemfukuza siku ya tukio, mtoto huyo aliendelea kusisitiza ni jaji anayeendesha kesi hiyo, jambo lililozua vicheko mahakamani hapo.

Shahidi huyo ambaye ni mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Burigi, alikuwa anatoa ushaidi wa tukio la mauji ya Thomas Masumbuko (12), jana Alhamisi Julai 3, 2024.

Masumbuko aliuawa kwa kufungwa kamba mguuni, mikono na kusokomezwa matambara mdomoni, hivyo kukosa hewa na kufariki dunia, huku akiwa amefunikwa kitambaa usoni.

Shahidi huyo akiwa kizimbani, Jaji alimhoji maswali ya ufahamu ili aweze kuapishwa, ikiwa ni pamoja na kumuuliza majina, dini na kama anajua nini maana ya dhambi au ukweli, maswali ambayo alishindwa kuyajibu kwa ufasaha.

Kutokana na kushindwa kujieleza, nini maana ya uongo au ukweli, Mahakama iliridhia shahidi huyo achukuliwe ushahidi wake bila kiapo.

Mwananchi
katakuwa katoto ka generation z
 
Katika vitu huwa vinaheshikika ni ushahidi wa mtoto. Hawezi kidanganya, ni nadra sana kusimgizia
Hivi miaka 9 ni mtoto embu acha zako Mimi nikiwa na miaka 9 nilikua na akili timamu kabisa na mbususu nachakata Sasa huyo miaka 9 Gani mpaka asiseme uongo hapo anataka kuvuruga kesi
 
Hii imetokea Geita
Screenshot_20240704-160945.png


Kazi ni kipimo cha Utu , tuzidi kuombeana .
 
Back
Top Bottom