Shahidi Inspector Innocent Ndowa wa Jamhuri ndiye binadamu wa kwanza duniani kudukua mawasiliano Telegram

Shahidi Inspector Innocent Ndowa wa Jamhuri ndiye binadamu wa kwanza duniani kudukua mawasiliano Telegram

Cathelin

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
2,071
Reaction score
3,995
Shahidi wa Jana wa jamuhuri kwenye kesi ya Mbowe, alisema aliweza ku-hack Telegram ya Mweshimiwa Mbowe na Kina Urio.

Kupitia ku-hack Telegram aliweza kusoma meseji za Mbowe na kuona wanavyopanga ugaidi.

Toka kuanzishwa kwa Telegram hakuna binadamu yeyote ashawahi hack- Telegram, serikali ya urusi ilijaribu ikashindwa, Google walijaribu wakashindwa.

So huyu Mtanzania mwenzetu aliyeweza ku-hack Telegram ya Mbowe ndo mtu wa kwanza duniani kufanya hivyo.

IMG_20220119_082941.jpg
IMG_20220119_082812.jpg
 
Itabidi tuwasiliane na Telegram ili aweze kukabidhiwa ile zawadi yake ya Milioni 500 ambazo waliweka kwa atakaeweza kuhack mtandao wao!
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Toka kuanzishwa kwa Telegram hakuna binadamu yeyote ashawahi hack- Telegram, serikali ya urusi ilijaribu ikashindwa, Google walijaribu wakashindwa.
 
Tatizo mnadanganywa sana, urusi ishindwe kuhack telegram?
Kwani Urusi ni maroboti mkuu?

Si binadamu kama wengine tu na vifaa watakavyotumia kudukulia ni vile vile ambavyo wadukuliwa wanavyo Sasa kinashindikana ni Nini hii Dunia Ina taasisi na kampuni zenye mfumo strong kuliko hata nchi hivyo usistaajabu!
 
Jana niliposikia hii nilishangaa sana, labda ngoja tusubiri wataalamu wa Cyber waje watueleze

Isije kuwa walimpokonya simu mtuhumiwa akiwa anatumia wakaanza kusoma hizo meseji,na ukamataji wao ulivyo wa kipuuzi.

Mbona JF iliwashinda wakamkamata Max?
 
Yeye alikua na kifaa husika , kwa hiyo hakua third part ... alichokua anafanya ni ku-retrive tu sio ku-hack kwa mtindo ule wa upande wa-tatu
Kivip haiwezakani kabisa kwa hivo hapo kuna uongo mkubwa
 
Shahidi mwongo mwongo tu. Simu walizokamatwa nazo moshi zinatofauti na siku iliyoingia mahabara
 
Yeye alikua na kifaa husika , kwa hiyo hakua third part alichokua anafanya ni ku-retrive tu sio ku-hack kwa mtindo ule wa upande wa-tatu
Hebu tufafanulie hapa unamaanisha nini kwamba alikuwa na kifaa husika?
 
Back
Top Bottom